Sister Abigail
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 3,407
- 10,544
- Thread starter
- #41
Ni vizuri.ila usije kulia tu ukiachwa na kutishia kuua.
Jiandae mentally and emotionally!
Jiandae mentally and emotionally!
Nakubali kupoo..ila sasa pachika mimba mtu asie sahihi mlikutana kupozana nyege tu...ndo matokeo unasikia mama kamchoma visu kamla mwanae kisa baba hamtaki tenaKu Do kupo tu ndugu
Kwa vijana wa sasa..hizo zote ulizotaja ni tabia zao za kawaida na haziepukikiTatizo la afya ya akili linazidi tena kwa kasi mno.
1.wivu kupindukia,
Hii si dalili nzuri sana ukiona mtu anakuwekea wivu kupitiliza achana naye fasta huenda ana matatizo ya akili
2.Kukamia mechi,
Tendo la ndoa/ngono ni tendo la hisia linaloleta furaha kwa wawili yaani kuhakikisha Kila mtu kaenjoy, lakini ukiona mtu anafanya kama kukomoa, hayo ni matatizo ya akili kwani mtu mwenye akili timamu hawezi fanya hivyo.
3.kukumbushia zawadi na misaada
Ukiona mtu ana tabia ya kukumbushia vitu fulani ambavyo aliwahi kukusaidia basi log out mapema huyo huenda ana matatizo ya akili.
4.Mtu asiyejua Mapenzi.
Design ya watu hawa wenyewe hujiona mashababi na tabia zao za kusimulia mambo vijiweni huku silaha yao kubwa ikiwa ni kuhonga , Hawa ni hatari sana kwani huwa hawajiamini na ikitokea amesalitiwa basi hufanya maamuzi magumu sana.
Jack Daniel
Tunaishi kwa matarajio hilo ndio kosaMkeo/Mumeo ni binadamu ukishajua kuwa hauishi na Malaika bali Binadamu mwenzio basi hautajinyonga/kuua ukisalitiwa.
Vyema umwambie Mwenza wako anachokitafuta nje anaweza kukipata ndani mkifundishana pamoja na kuyajenga pamoja.
Ikishindikana, umkumbushe kuchukua tahadhali akijua nje kuna maradhi kuanzia yenye kupona baada ya kuchomwa masindano mfululizo na mengine yenye kukufanya umeze dawa hadi figo zifeli na hadi unaingia kaburini.
Uko sawa.ila acha zinaa.kama unaweza oa huyo unaeenda nae sawa!Binafsi sijui nikoje huwa siwazi kuhusu mahusiano ninachowaza mm ni kuzagamuana tu so mtu akinipea then akaenda zake siwazi hta kdgo na km ananipea na ananipenda bc najitahidi kwenda nae sawa
Wanafanya nini kama mbadala wa hisia..au ndo umalaya?Mahusiano yenyewe ni kwaajili ya watu dhaifu..watu wenye nguvu kubwa za kihisia huwa hawajiusishi kabisa na hayo maswala
Bado hujapona au kafumua mshono ?Mapenzi yanauma haswa
Umeshawahi kufua nguo nyingi na kuanika kambani kisha baada ya kumaliza kufua kamba ya kuanikia ikakatika na mahali hapo uwanja una vumbi la kutosha? Unajua maumivu yake?Mapenzi yanauma haswa



Mapenzi bila hisia ni hakuna mapenzi.Tunaishi kwa matarajio hilo ndio kosa
Pia tunawekeza hisia deep kiasi ukiumizwa tu unayumba
Halafu unaposema anachokitafuta nje anaweza kipata ndani inategemea anatafuta nini,mme una kipato cha chini ye anadanga kuhongwa milion utampatiaje na huna hela?
Mwanaume anatafuta mambo machafu huwezi kufanya kama mke mwache tu aende.jikaze akishapata anachotaka basi arudi mlee familia.kikubwa ujilinde tu.
Tushakuwa malaya tayari..tuna uzoefu hatyumbishwi
Ukiniacha leo week ijayo ukinitafuta nakuuliza we nani kwani? Mtu bakize ndo nani sikukumbuki
Utaduwaa





hayo ukiyapitia sana bila kupotea matokeo unakuwa imara.nakumbuka nlivokua nalia hadi macho yanavimba kisa kiboyfriend hapo udogoni.
Ila sasa kwa hawa miaka 40 unafanya mbo ya ajabu nashangaa




kwa kweli mapenzi kwangu sio kitu cha kunifanya niumie au nitesekee,
Shukrani mkuuUko sawa.ila acha zinaa.kama unaweza oa huyo unaeenda nae sawa!
Nimecheka sanakama yanataka kuniua yaniue tu bhaana, Ila mapenzi siwezi kuacha labda yaniache yenyewe..!!
Ahsante..!!😂😂🙌
Depal
Yeah design kama hiyo...leo huyu kesho yule they don't have a time to settle..in short they don't give a f*ck about damn relationship.Wanafanya nini kama mbadala wa hisia..au ndo umalaya?

Kufikia hatua hiyo ujue nayeye alishalizwaWapo.ni wale wasiojali.wako strong!
Mtu anaachwa anajiambia litapit ntasimama tena..na anamove on maisha yanaendelea
Basii tunatofautianaHapanaa wala siafikii hili dear.
😂Sina maumivu right now, najaribu tu ku share some experienceBado hujapona au kafumua mshono ?
😂😂😂Umeshawahi kufua nguo nyingi na kuanika kambani kisha baada ya kumaliza kufua kamba ya kuanikia ikakatika na mahali hapo uwanja una vumbi la kutosha? Unajua maumivu yake?
Joking![]()