Jibu maarufu la Serikali bungeni

Jibu maarufu la Serikali bungeni

SubiriJibu

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2009
Posts
1,805
Reaction score
1,890
Kwa wale wenye kutarajia kuwa mawaziri basi jiandae kuwa mwepesi wa kutoa jibu hili jambo lolote ambalo huna majibu nalo:

{...."Jambo hili tumelisikia, linatugusa, tunalitafakari, tutapatia ufumbuzi"....}.

Wala usiumize kichwa, jibu hivi songa mbele.
 
Kwa wale wenye kutarajia kuwa mawaziri basi jiandae kuwa mwepesi wa kutoa jibu hili jambo lolote ambalo huna majibu nalo:

{...."Jambo hili tumelisikia, linatugusa, tunalitafakari, tutapatia ufumbuzi"....}.

Wala usiumize kichwa, jibu hivi songa mbele.

Comrade itategemea lakini kwa mawaziri makini wa CDM watakapo chukua nchi wananchi wasitegemee kupatiwa majibu haya ya kilabuni
 
Kwa wale wenye kutarajia kuwa mawaziri basi jiandae kuwa mwepesi wa kutoa jibu hili jambo lolote ambalo huna majibu nalo:

{...."Jambo hili tumelisikia, linatugusa, tunalitafakari, tutapatia ufumbuzi"....}.

Wala usiumize kichwa, jibu hivi songa mbele.

Majibu kama haya anayapenda sana PM.
 
".....mpango mkakati umekamilika, sasa serikali inafanya mazungumzo na wafadhili, tunaomba wananchi wavute subira..."
 
wee!Labda wasiwe wameuliza swali na majembe.mfano "mhe waziri kwakua umetumia kila lililo ndani ya uwezo wako ktk kutatua mgogoro wa madaktar na serikali lakini bado umeonekana kushindwa hasa pale ulipotamka kuwa 'liwalo na liwe'na hadi kufikia tukio la kinyama lilomkuta Dr Ulimboka,Je huoni kuwa wakati umefika wa wewe kuchukua maamuzi magumu ya kujiuzulu nyazifa ya uwaziri mkuu?"
 
"mchakato umeshafanyika... tupo kwenye upembuzi yakinifu"
 
"Huu ni Upepo tu utapita"
"Tumesikia malalamiko ya Wananchi, tunayafanyia kazi"
"Tumeunda tume,uchunguzi utakapokamilika serikali itatoa tamko"
 
Back
Top Bottom