SubiriJibu
JF-Expert Member
- Jun 26, 2009
- 1,805
- 1,890
Kwa wale wenye kutarajia kuwa mawaziri basi jiandae kuwa mwepesi wa kutoa jibu hili jambo lolote ambalo huna majibu nalo:
{...."Jambo hili tumelisikia, linatugusa, tunalitafakari, tutapatia ufumbuzi"....}.
Wala usiumize kichwa, jibu hivi songa mbele.
{...."Jambo hili tumelisikia, linatugusa, tunalitafakari, tutapatia ufumbuzi"....}.
Wala usiumize kichwa, jibu hivi songa mbele.