Jibu maarufu la Serikali bungeni

wee!Labda wasiwe wameuliza swali na majembe.mfano "mhe waziri kwakua umetumia kila lililo ndani ya uwezo wako ktk kutatua mgogoro wa madaktar na serikali lakini bado umeonekana kushindwa hasa pale ulipotamka kuwa 'liwalo na liwe'na hadi kufikia tukio la kinyama lilomkuta Dr Ulimboka,Je huoni kuwa wakati umefika wa wewe kuchukua maamuzi magumu ya kujiuzulu nyazifa ya uwaziri mkuu?"
hapa magamba kwa kukariri akijibu tu :A S 465::israel:
 
wee!Labda wasiwe wameuliza swali na majembe.mfano "mhe waziri kwakua umetumia kila lililo ndani ya uwezo wako ktk kutatua mgogoro wa madaktar na serikali lakini bado umeonekana kushindwa hasa pale ulipotamka kuwa 'liwalo na liwe'na hadi kufikia tukio la kinyama lilomkuta Dr Ulimboka,Je huoni kuwa wakati umefika wa wewe kuchukua maamuzi magumu ya kujiuzulu nyazifa ya uwaziri mkuu?"


Hilo Swali halina sijui mpango kabambe, serikali imejipanga, tunafanya majadiliano na wafadhili, tume imeundwa, serikali imeanza kulishughulikia swala hili kikamilifu, wala wananchi wasubiri matunda kabambe kutokana na taswila ya mradi huo.....swali hilo ni lazima Spika aingilie kati kumuokoa anayeulizwa ambaye ni Pinda...
Bila ya hivyo jamaa atalia tena
 
Zaidi:

"Tuna mkakati kabambe..."

mazungumzo na nchi wahisani bado yanaendelea,,,,,
kwa sasa tunatafuta pesa za upembuzi,,,,,
jambo hili tunalijua na mh.waziri atakuja jimbon,,,
mh. Mbunge labda baada ya kikao hiki ningependa tuonane ili tuone inakuwaje
 
wee!Labda wasiwe wameuliza swali na majembe.mfano "mhe waziri kwakua umetumia kila lililo ndani ya uwezo wako ktk kutatua mgogoro wa madaktar na serikali lakini bado umeonekana kushindwa hasa pale ulipotamka kuwa 'liwalo na liwe'na hadi kufikia tukio la kinyama lilomkuta Dr Ulimboka,Je huoni kuwa wakati umefika wa wewe kuchukua maamuzi magumu ya kujiuzulu nyazifa ya uwaziri mkuu?"

mh wakat ndio sasa hiyo lugha unayoitumia sio nzuri nakuheshimu sana,,,,
 
".....mpango mkakati umekamilika, sasa serikali inafanya mazungumzo na wafadhili, tunaomba wananchi wavute subira..."

kwani serikali yao ya chama cha mapinduzi chini ya rais Jakaya Mrisho kikwete ni sikivu'DR MAGULOCK
 
Timu ya wataaramu ipo mbioni kutoa ripoti yao, na nikuhakikishie tu mh: Mbuge .... Kwenye bajeti ijayo Serikal itatenga pesa ktk mradi huo.
 
mh wakat ndio sasa hiyo lugha unayoitumia sio nzuri nakuheshimu sana,,,,

SWALI LA NYONGEZA
Mhe Waziri,pamoja na heshima uliyonipa,unaonaje ukawazadia wananchi moja ya uongozi uliotukuka kwa kuonesha uwajibikaji wa kuachia ngazi,ikiwa ni juu ya majibu yako ya "liwalo na liwe"?
 
Hilo Swali halina sijui mpango kabambe, serikali imejipanga, tunafanya majadiliano na wafadhili, tume imeundwa, serikali imeanza kulishughulikia swala hili kikamilifu, wala wananchi wasubiri matunda kabambe kutokana na taswila ya mradi huo.....swali hilo ni lazima Spika aingilie kati kumuokoa anayeulizwa ambaye ni Pinda...
Bila ya hivyo jamaa atalia tena

mhe,wakati ndio sasa uliza maswali ya kujenga,swala madaktar lipo mahakaman usilizungumzie hapa,nasema kaa chini
 
mh spika wizara yangu imeunda tume kufuatilia mchakato na muda si mrefu tutapewa taarifa kutoka kwa wataalamu
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom