Jibu kwa The Boss (Nyumba ndogo)

Nyumba ndogo ambaye si mke siyo sawa kabisa..

Lakini kuoa mke zaidi ya moja (mbili, tatu hadi nne) ni halali na haki..

Faida zake..
1. Uchumi ukiwa na wake wawili unachangamka zaidi unatafuta zaidi na unakuwa ideas kutoka conflicting angles

2. Kuwa busy kuondokana na infedality..

3. Kuwa na familia kubwa (wengine tunapenda kuona watoto kumi nk)

4. Kupunguza idadi ya wanawake wasiolewa (wasiokuwa na familia)..note. world ration women vs men (tunaita nusra)

Angalizo kwa wanaume: Kama huna uwezo wa kufanya maamuzi magumu dunia yako itakuwa hell (experienced men)
Unafanya hivo ukiamua mwenyewe au unawashirikisha wanawake hao na unahakikisha wameridhika na hali hiyo? jibu from mtazamo wako kama "experienced man"
 
mimi nafikiri kuamini 'watu wote wawe na mtazamo fulani' kuhusu jambo fulani ni makosa..

wapo watu hata wakiambiwa 'tumieni condoms' hawata fanya 'zinaa'

na wengine wataona ni afadhali kuliko kwenda peku.....

mfano mwingine watu wataambiwa bar ziwe wazi mwisho saa tano usiku....
haimanishi wameambiwa wakitoka tu kazini ni bar moja kwa moja mpaka saa tano usiku

sio lazima hata kunywa hizo pombe......

siku zote 'ushauri'...huwa una faida zaidi kuliko kuacha watu wajifanyie wanavyojua....

kipi bora kumshauri mtu aijali famili zaidi kabla ya kuijali nyumba ndogo
au
kumuacha mtu 'azuzuke' na nyumba ndogo na kuisahau familia kabisa????????
 
Hakuna cha nyumba kubwa wala ndogo. Kuna aidha mke na mume wa ndoa na basi. Mengine yote ni uzinzi na uzinzi ni haraam.
 
mimi nafikiri kuamini 'watu wote wawe na mtazamo fulani' kuhusu jambo fulani ni makosa..

wapo watu hata wakiambiwa 'tumieni condoms' hawata fanya 'zinaa'

na wengine wataona ni afadhali kuliko kwenda peku.....

mfano mwingine watu wataambiwa bar ziwe wazi mwisho saa tano usiku....
haimanishi wameambiwa wakitoka tu kazini ni bar moja kwa moja mpaka saa tano usiku

sio lazima hata kunywa hizo pombe......

siku zote 'ushauri'...huwa una faida zaidi kuliko kuacha watu wajifanyie wanavyojua....

kipi bora kumshauri mtu aijali famili zaidi kabla ya kuijali nyumba ndogo
au
kumuacha mtu 'azuzuke' na nyumba ndogo na kuisahau familia kabisa????????
Of course kushauri ni bora ila ningependa kama ushauri wako ungeenda upande wa kusaidia kutatua shida (ambayo sija bisha kama ipo), kuliko kutoa ushauri wa namna gani kulifanya kosa lako lidumu
 
Hakuna cha nyumba kubwa wala ndogo. Kuna aidha mke na mume wa ndoa na basi. Mengine yote ni uzinzi na uzinzi ni haraam.

wewe usianze kabisa hapa...
wewe mumeo alikuoa ukiwa 'bikira'...?????????

na akitaka kuoa mke wa pili wa halali afanyaje?????

atafute bikira????? kabla ya kumuoa afanyaje??? hakuna out??
hakuna kwenda njenje??????? au wewe ulitaka tufanjaje???????
 
Hakuna cha nyumba kubwa wala ndogo. Kuna aidha mke na mume wa ndoa na basi. Mengine yote ni uzinzi na uzinzi ni haraam.
Ndio hivo dada, ila nilikwazika kuona watu wanatoa ushauri wa namna gani mtu anatakiwa kula hiyo haram...
 
Swala la mapenzi kwa kweli hayana mpaka na siwezi kujibu kwa niaba ya wanawake wote. Nahisi wanawake wanaopenda wanaume ambao wapo ndani ya ndoa wanavutwa na ile stability ya mume. sio boyfriend wa kawaida, ni mtu focused, ana mtazamo na mipango ya maisha etc, so he is more "mature".
Swala la tegemeo pia sijui. Kuna ambao wanategemea atamuacha nyumba kubwa aje kwake (wengi) na wengine wanategemea tu kwamba atampa starehe ya mali na mwili ila ataweza kubaki independant kwa mambo mengine.
Ni kweli mwanaume anacheat na mwanamke ila tukumbuke mwanamke huyo wa nje hana ndoa, hivo kosa lake ni kujikosea heshima mwenyewe, ila mwanaume not only anajikosea heshima ila pia anamkosea heshima mke wake wa ndani, anamkosea heshima huyo mke wa nje, na anawakosea heshima watu wokte walio hudhuria kwenye ndoa yake. Na mwisho kabisa (na ndio worse) anamkosea Mungu.

RR thanx kwa kutoa mtazamo wako, ila napenda tuangalie pia reason ya mwanaume kuamua kutoka nje ndoa yake na kuwa na kambi kabisa/nyumba ndogo.
Je ni tamaa tu?
Je wake wa ndoa mnatimiza wajibu wenu ipasavyo?

Mana mm nachekecha mambo pande zote na hapa tukiangalia idadi ya wanaume kutoka nje wengi watakupa sababu kuwa wake zao wamewafanya wao kutoka nje.

Nieleweke kwamba SITETEI huu UOVU ila nataka tuangalie wapi ndio tunapokosea ili tukirekebisha hapo hili tatizo lipungue.

Nakupa mfano huu hai
Anko wangu b4 hajaoa mwanamke alikua mpole sana,mnyenyekevu mwenye huruma,mkarimu mno, msafi kuanzia mwili mpaka nyumba, alionekana na sifa zote nzuri zilizomfanya anko aharakishe mchakato wa kumuoa.

Miezi michache baada ya ndoa mke akabadilika
akawa mjeuri,ule upendo haukuwepo tena,hakujaijali nyumba kwa ujumala,akaanza kuwa mchafu, hafui,hasafishi chumba,hampikii mumewe vizuri kama awali, kutwa ni ugomvi kudai mambo makubwa, zaidi ya yote hatulii nyumba kutwa kuzurura tu.
Familia,wazaz wamemkanya na hataki kubadilika.

Je kwa hili hii huyu Anko wangu akipata wazo la kuwa na bibi nje atakae m care,kumpikia akitakacho,mkumjali nk tutamlaumu?kumbuka nae ni binadamu ana hisia mfano furaha, maudhi,huzuni nk

Je wakati ule huyu mke wa ndoa alipoonyesha kuwa na tabia njema zote je alikua akiigiza tu a WIN suala la kuolewa?

Wanawake wengi b4 hamjaolewa mnafanya maigizo ya kila namna ili kumvutia mume akuoe.
Baada ya hapo mnaanza kuonyesha makucha halisi.

Mnasahau kuwa kuolewa si kazi, kazi ku maintain ndoa.

Napenda tena kupata maoni yako kutokana na hayo niliyo eleza then tuangalie wapi tunarekebisha ili kupunguza haya matatizo.
 
Of course kushauri ni bora ila ningependa kama ushauri wako ungeenda upande wa kusaidia kutatua shida (ambayo sija bisha kama ipo), kuliko kutoa ushauri wa namna gani kulifanya kosa lako lidumu

wanaume wote wenye nyumba ndogo mwisho kabisa
hurudi kwa wake zao au kuoa hiyo nyumba ndogo na kurudi kuwa waaminifu
as times go......

mostly ni ujana na 'ujana una mambo yake'

sasa hata walevi sugu hawaambiwi waache kabisa mara moja...

hushauriwa kupunguza as days go....mpaka kuacha kabisa....


kwenye nyumba ndogo nashauri watu wajali 'mke zaidi'
while wanaendelea na nyumba zao ndogo so 'hasara' ni minimum....

baadae with age 'wanarudi tu home.....automatically....
 
Unafanya hivo ukiamua mwenyewe au unawashirikisha wanawake hao na unahakikisha wameridhika na hali hiyo? jibu from mtazamo wako kama "experienced man"

Huwezi kudhizisha mwanadam hata ukipenda vipi kufanya hivyo..

Kwa hiyo kwa uzoefu wangu unaoa mke mwingine kama wewe unavyohisi na siyo kama mke mwingine anavyohisi..

Of course hakuna atakayedanganywa wataambia wote, mkubwa ataambia ninaoa, mdogo ataambia nina mke..

Aliyerizika tutakuwa na familia natutaendelea na challenges zingine..za maisha kama binadamu wengine..

Mimi sijaona tatizo kubwa maana toka enzi (hadi leo) village familia zina baba moja na wa mama wengi kawaida tu..

Hizi media na women movements ndio zinaharibu familia zetu (kimfumo)
 
Nyumbani kwangu i am the law,nitatoka saa nnataka,nitaingia saa nnataka,what i do in between is my business.You live only once bana. Na huyo mwanamke atakayetaka kushindana na mimi kwanza huo ubavu ataupata wapi,subutu yake........We unalala pazuri,unakula vizuri,i gave a nice car,watoto nawalipia shule nzuri,wazazi wako nawahudumia kama wa kwangu,saluni unakwenda ya Sea cliff sasa kelele ya nini? Tell me why the longolongo????

Huwaga si comment sana kwenye Jf na si kwamba napinga nyumba ndogo. Ila sikubalianai na ulivyoviandika hapo juu. This is not the way ya kuishi. Do you think kwamba ukiwa na mke wako naunampatia ulivyovitaja hapo juu ndio maisha yanaenda!! where is love now days. Hatukatai nyumba ndogo zipo kutokana sababu fulani fulani ( what ever). Duu huyo mkeo ( if you have one) anahasara nimechoka kabisa!!!!
 
wanaume wote wenye nyumba ndogo mwisho kabisa
hurudi kwa wake zao au kuoa hiyo nyumba ndogo na kurudi kuwa waaminifu
as times go......

mostly ni ujana na 'ujana una mambo yake'

sasa hata walevi sugu hawaambiwi waache kabisa mara moja...

hushauriwa kupunguza as days go....mpaka kuacha kabisa....


kwenye nyumba ndogo nashauri watu wajali 'mke zaidi'
while wanaendelea na nyumba zao ndogo so 'hasara' ni minimum....

baadae with age 'wanarudi tu home.....automatically....

Aise unahitaji kuwa na centre ya kushauri wanawake
 
inashangaza jinsi watu 'wakiona mawazo tofauti' wanatafsiri

kingine kabisa....unakwenda kwenye restaurant unakuta wametenganisha
upande wa wanaovuta sigara na upande wa wasiovuta sigara....
badala ya 'kuelewa busara ya jambo hilo'
unalaani kuwa mwenye restaurant anashawishi watu kuvuta sigara...this is funny...lol
 
RR thanx kwa kutoa mtazamo wako, ila napenda tuangalie pia reason ya mwanaume kuamua kutoka nje ndoa yake na kuwa na kambi kabisa/nyumba ndogo.
Je ni tamaa tu?
Je wake wa ndoa mnatimiza wajibu wenu ipasavyo?

Mana mm nachekecha mambo pande zote na hapa tukiangalia idadi ya wanaume kutoka nje wengi watakupa sababu kuwa wake zao wamewafanya wao kutoka nje.

Nieleweke kwamba SITETEI huu UOVU ila nataka tuangalie wapi ndio tunapokosea ili tukirekebisha hapo hili tatizo lipungue.

Nakupa mfano huu hai
Anko wangu b4 hajaoa mwanamke alikua mpole sana,mnyenyekevu mwenye huruma,mkarimu mno, msafi kuanzia mwili mpaka nyumba, alionekana na sifa zote nzuri zilizomfanya anko aharakishe mchakato wa kumuoa.

Miezi michache baada ya ndoa mke akabadilika
akawa mjeuri,ule upendo haukuwepo tena,hakujaijali nyumba kwa ujumala,akaanza kuwa mchafu, hafui,hasafishi chumba,hampikii mumewe vizuri kama awali, kutwa ni ugomvi kudai mambo makubwa, zaidi ya yote hatulii nyumba kutwa kuzurura tu.
Familia,wazaz wamemkanya na hataki kubadilika.

Je kwa hili hii huyu Anko wangu akipata wazo la kuwa na bibi nje atakae m care,kumpikia akitakacho,mkumjali nk tutamlaumu?kumbuka nae ni binadamu ana hisia mfano furaha, maudhi,huzuni nk

Je wakati ule huyu mke wa ndoa alipoonyesha kuwa na tabia njema zote je alikua akiigiza tu a WIN suala la kuolewa?

Wanawake wengi b4 hamjaolewa mnafanya maigizo ya kila namna ili kumvutia mume akuoe.
Baada ya hapo mnaanza kuonyesha makucha halisi.

Mnasahau kuwa kuolewa si kazi, kazi ku maintain ndoa.

Napenda tena kupata maoni yako kutokana na hayo niliyo eleza then tuangalie wapi tunarekebisha ili kupunguza haya matatizo.
Pole sana kwa uncle wako, hali hiyo sio rahisi na kweli katika set up ya leo mtu anaweza kufikiria kwenda nje ila haita saidia kumbadilisha huyo mwanamke wa ndani. ninacho weza kusema hapo ni kuwakutanisha wahusika wawili na kuwasaidia kukumbuka mkataba wao wa ndoa unasemaje. wakati wakuoana walikua na expectation gani na kila mtu anatekelezaje huo mkataba. uncle amwambie mke wake kua hakutaka kuoa mwanamke mvivu na mjeuri etc. Na kama unavo sema inaonekana huyo mama alificha kucha zake kwa nia ya kuolewa ambayo pia ni kosa lingine tunatakiwa kuzungumzia (mada separate)
Kwenda nje ya ndoa kutaongeza hizo tatizo na huenda na huko nje pia akakutana na vitu vibovu kuliko hata ya ndani.
 
inashangaza jinsi watu 'wakiona mawazo tofauti' wanatafsiri

kingine kabisa....unakwenda kwenye restaurant unakuta wametenganisha
upande wa wanaovuta sigara na upande wa wasiovuta sigara....
badala ya 'kuelewa busara ya jambo hilo'
unalaani kuwa mwenye restaurant anashawishi watu kuvuta sigara...this is funny...lol
In fact he is. angekua anaona sio sawa watu kuvuta sigara restaurent yake angeondoa kabisa eneo la wavutaji.
Hatuwezi kudiscuss objectively, tuko binadam with view points and biaises...
 
In fact he is. angekua anaona sio sawa watu kuvuta sigara restaurent yake angeondoa kabisa eneo la wavutaji.
Hatuwezi kudiscuss objectively, tuko binadam with view points and biaises...

na je hawasaaadii wasiovuta 'kuathirika' na sigara hapo?????
 
Dada RR ni kweli inauma mumeo kuwa na nyumba ndogo, lakini kila mtu akibaki na mkewe tu nyumbani sie ambao hatuna waume tutaishije? Na miaka ndio inazidi kwenda tutabanana tu humo humo mtatusamehe mkipenda
 
Huwezi kudhizisha mwanadam hata ukipenda vipi kufanya hivyo..

Kwa hiyo kwa uzoefu wangu unaoa mke mwingine kama wewe unavyohisi na siyo kama mke mwingine anavyohisi..

Of course hakuna atakayedanganywa wataambia wote, mkubwa ataambia ninaoa, mdogo ataambia nina mke..

Aliyerizika tutakuwa na familia natutaendelea na challenges zingine..za maisha kama binadamu wengine..

Mimi sijaona tatizo kubwa maana toka enzi (hadi leo) village familia zina baba moja na wa mama wengi kawaida tu..

Hizi media na women movements ndio zinaharibu familia zetu (kimfumo)
Siwezi kuwasema vibaya mababu zetu na kuwaambia walifanya makosa kuoa wake wengi. Au kule western afrika ambapo hata leo polygamy ni sawa. Mi nazungumzia hii society ninako ishi mimi. Swala la mke wa pili lina weza kua solution kule ila nadhani kwangu mimi sio solution, hasa kama huyo bimdogo anatumiwa kama njia yakumkomesha nyumba kubwa, au kumlazimisha kutoa ushirikiano kwa vitu mbali mbali
 
Dada RR ni kweli inauma mumeo kuwa na nyumba ndogo, lakini kila mtu akibaki na mkewe tu nyumbani sie ambao hatuna waume tutaishije? Na miaka ndio inazidi kwenda tutabanana tu humo humo mtatusamehe mkipenda
Dada sarafina mimi nimesha kusamehe mbona? in fact sina hasira na nyumba ndogo, namuona kama victim of the system sababu anatembea na mume wa watu ila mwisho wa siku sio mume wake pia... so the only person benefiting ni huyo mwanaume ambae amedanganya watu wote na kwenda kinyume na viapo vyake vya harusi
 
Back
Top Bottom