FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 93,239
- 109,808
wewe usianze kabisa hapa...
wewe mumeo alikuoa ukiwa 'bikira'...?????????
na akitaka kuoa mke wa pili wa halali afanyaje?????
atafute bikira????? kabla ya kumuoa afanyaje??? hakuna out??
hakuna kwenda njenje??????? au wewe ulitaka tufanjaje???????
Alinioa bikra tena mbichi babu wee, na poda wazee wakapakana.Unafikiri mie ndio viruka njia wenu wa leo? Unanchekesha!