JF women…Happy Women’s Day 2023

JF women…Happy Women’s Day 2023

Pembeni ya Logo ya JamiiForums kuna Logo ya JamiiCheck, jukwaa la uhakiki wa taarifa mbalimbali mtandaoni. Rangi za kwenye logo hiyo zina maana zifuatazo:...
Shukran kwa ufafanuzi. Muwe mnajitokeza kama hivi, sehemu zenye mkanganyiko.

Wewe ni yupi kwenye hizo picha hapo?

Basi usiniambie, nishakuona. Nimependa jeans yako. Pia, nice smile 😊😊
 
Huko PM hakufai tena kwenda, hawa watakuwa wanasoma msg za watu sana wanaishia kutuchora tu humu.
Kama ujumbe (PM) haujamtumia Moderator basi hawezi kuona. Hakuna moderator mwenye uwezo wa kusoma Private Message za watu.
 
Shukran kwa ufafanuzi. Muwe mnajitokeza kama hivi, sehemu zenye mkanganyiko.

Wewe ni yupi kwenye hizo picha hapo?

Basi usiniambie, nishakuona. Nimependa jeans yako. Pia, nice smile 😊😊
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Shukran kwa ufafanuzi. Muwe mnajitokeza kama hivi, sehemu zenye mkanganyiko.

Wewe ni yupi kwenye hizo picha hapo?

Basi usiniambie, nishakuona. Nimependa jeans yako. Pia, nice smile 😊😊
Kwamba mwandiko wangu ni wa kike?
 
HONGERENI JF kutuonesha wafanyakazi wenu

View attachment 2542268
View attachment 2542269
View attachment 2542270

---

View attachment 2542703
Picha, Rangi nne (4) zitumikazo Jamii Check​
Moderator
Pembeni ya Logo ya JamiiForums kuna Logo ya JamiiCheck, jukwaa la uhakiki wa taarifa mbalimbali mtandaoni. Rangi za kwenye logo hiyo zina maana zifuatazo:

1. Njano - Taarifa mpya inayosubiri kuhakikiwa
2. Kijani - Taarifa imehakikiwa na kukutwa na ukweli yaani “Fact”
3. Nyekundu - Taarifa imehakikiwa na kukutwa ni uongo yaani “Fake”
4. Kijivu - Taarifa imehakikiwa na kukutwa ni Nadharia yaani “Myth”
Nimependa hiyo saa nyeusi naipataje JF
Screenshot_20230309-113441~2.png
 
hongereni kwa siku ya wanawake duniani mmependeza sana


white - whiter - whitest
 
Hongereni sana wanawake wote wa Jf. Namba 3 kushoto, a bouquet of red roses is on the way.
 
Mwandiko hauna jinsia mwamba. Jinsi ulivyotoa ufafanuzi, nikadhani ww ni mmoja wao hapo, my bad.

Anyway, unaweza kuniunganisha na huyo mwenye jeans?
Liwalo na liwe🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom