Arushaone
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 15,235
- 13,539
Wasiwasi wangu ni kuwa kwa upande wako hata sherehe isiwepo,pia angalia unaweza ukadhani unapanga sherehe kumbe ni msiba, uliza wenzio kwa nini wana sitasita. Beware
Unajifariji eeh?
Wasiwasi wangu ni kuwa kwa upande wako hata sherehe isiwepo,pia angalia unaweza ukadhani unapanga sherehe kumbe ni msiba, uliza wenzio kwa nini wana sitasita. Beware
Kamanda unajichosha sana, ndoa yangu na mke wangu Lady doctor ndio ndoa ya mfano wa kuigwa katika Jamhuri nzima ya nchi ya CHIT-CHAT
sikutaki tenaaaaaaaaaaaaaaaaaaa:frusty:
Vin jamani yamekuwa hayo
Yeah beibi ndoa yetu ndio mfano wa kuigwa humu huyu Baba V muache arukeruke humu kama kuku anaetaka kutaga
asantew wangu nastahili indeed
Uk. 2
6.Mtoto wa nje ya ndoa wa Lady doctor azua tafrani katika familia ya Arushaone, ugomvi wafika ukweni, yadaiwa hakuwahi kusema kuwa ana mtoto. Yasemekana mtoto anafanana na kingkongiii kila kitu.. Yadaiwa hata mimba aliyosema anayo Lady doctor ni uzushi mtupu.. nyumbani hapapikiki, hapaliki, hapakaliki na wala hapalaliki...
7. Masogange atoa ya moyoni , ni kuhusu "sembe" alilodakwa nalo, Erickb52 kikaangoni, adaiwa kuonekana akimsindikiza JNIA , Nzowa athibitisha..
8. Picha tata za Chocs na mpigamsuli zavuja, ni zile walizopiga wakiwa "robotatu uchi", wao wadai walikuwa katika maongezi ya kawaida.... ulegevu wa macho ya Chocs katika picha waongeza hisia hasi....
9.Sababu ya Evelyn Salt kuadimika chit chat yabainika.., Asemekana kuwa "teja" wa jukwaa la wakubwa, adaiwa kushinda huko usiku kucha na mchana kutwa.. Ushaidi wawekwa hadharani, Yadaiwa katika kila thread katika jukwaa la wakubwa utakuta Last post by Evelyn salt . Wito watolewa yafanyike maombi ya kumnusuru. Bujibuji na Zion Daughter wateuliwa kuongoza maombi..
.... Itaendelea...
Vin jamani yamekuwa hayo
Shem kura zote kwako, hapa ni kuongea na mabingwa wa fitna za kura watu8 na C6 , kama charminglady hatetei taji hapo njia nyeupe
kwa mdomo?makubwaMimi nitakukata tuuu!
Uk. 3
10. Maandamano makubwa chit chat... Ni ya kutaka kurejea jamvini kwa cacico, Nicas Mtei , gfsonwin na kyanaKyoMuhaya ... Madame B akabidhiwa jukumu... watakaofuatia awamu ya pili watajwa.... yumo Zinduna... Mwenyekiti Baba V kusimamia zoezi...
nirejee mara ngapi! ujauzito wa Asprin ni kama wa tembo, mwaka wa pili huu sijajifungua! nipomy dear, umenimisijeeeeee?? msiri wangu gfsonwin naye kajaa tele, yupo my dear! namuonaga ikulu, nasikia kawa PS wa jk!Uk. 3
10. Maandamano makubwa chit chat... Ni ya kutaka kurejea jamvini kwa cacico, Nicas Mtei , gfsonwin na kyanaKyoMuhaya ... Madame B akabidhiwa jukumu... watakaofuatia awamu ya pili watajwa.... yumo Zinduna... Mwenyekiti Baba V kusimamia zoezi...
Yes my dear...acha nisake wangu peke yangu
ni balaa hili tumbo nakwambia! Nakungoja mamii, karibu sana!dah..... Miss u saaaaaana mamito!!!!!!! Pole sikuweza kuja kama nilivyokwambia! Ila dec lazima nitie maguu...
Pole kwa :mimba: