Lady doctor
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 8,756
- 7,005
Umeshajizatiti? Angalia 'miskerieji' kwa kuingia katika vita usiyoiweza.
nina ulinzi tosha baba ukiongozwa na mume wangu Arushaone so hunitishi kwa lolote
Last edited by a moderator:
Umeshajizatiti? Angalia 'miskerieji' kwa kuingia katika vita usiyoiweza.
Mimi nitakukata tuuu!hakatwi mtu chochote
...we kwani unatakaje?!Ushawahi muona wapi hadi ukampenda..!?
hivi mnajua mwenyekiti wa chit chat analala sakafuni?Nikitaka utanipa..!??
Siamin kama nimepona apa.....duh
Ngoja nikajipange.....
nina ulinzi tosha baba ukiongozwa na mume wangu Arushaone so hunitishi kwa lolote
Nikisema mnalalamika, endelea bhana.. haina makombo hiyo..
Uk. 2
6.Mtoto wa nje ya ndoa wa Lady doctor azua tafrani katika familia ya Arushaone, ugomvi wafika ukweni, yadaiwa hakuwahi kusema kuwa ana mtoto. Yasemekana mtoto anafanana na kingkongiii kila kitu.. Yadaiwa hata mimba aliyosema anayo Lady doctor ni uzushi mtupu.. nyumbani hapapikiki, hapaliki, hapakaliki na wala hapalaliki...
7. Masogange atoa ya moyoni , ni kuhusu "sembe" alilodakwa nalo, Erickb52 kikaangoni, adaiwa kuonekana akimsindikiza JNIA , Nzowa athibitisha..
8. Picha tata za Chocs na mpigamsuli zavuja, ni zile walizopiga wakiwa "robotatu uchi", wao wadai walikuwa katika maongezi ya kawaida.... ulegevu wa macho ya Chocs katika picha waongeza hisia hasi....
9.Sababu ya Evelyn Salt kuadimika chit chat yabainika.., Asemekana kuwa "teja" wa jukwaa la wakubwa, adaiwa kushinda huko usiku kucha na mchana kutwa.. Ushaidi wawekwa hadharani, Yadaiwa katika kila thread katika jukwaa la wakubwa utakuta Last post by Evelyn salt . Wito watolewa yafanyike maombi ya kumnusuru. Bujibuji na Zion Daughter wateuliwa kuongoza maombi..
.... Itaendelea...
nimekumisoo......