Jf Udaku Jumapili hii...

Jf Udaku Jumapili hii...

Tunaendelea.....

Mpango wa Filipo kwa Arabela wahujumiwa mbaya, ni baada ya marejesho na Mamzalendo kusafiri kisirisiri hadi tanga wikend hii, wafanya kikao cha siri babu Dark City. Arushaone nae alizwa bila kujua, babu DC alonga, asema ni katika kuhakikisha maadili katika ndoa za watu..
 
Last edited by a moderator:
Tunaendelea.....

Mpango wa Filipo kwa Arabela wahujumiwa mbaya, ni baada ya marejesho na Mamzalendo kusafiri kisirisiri hadi tanga wikend hii, wafanya kikao cha siri babu Dark City. Arushaone nae alizwa bila kujua, babu DC alonga, asema ni katika kuhakikisha maadili katika ndoa za watu..

He he he he mmejuaje jamani mbona ilikuwa siri yangu mimi tu na marejesho yaani kweli waliosema ukitaka kuongea siri ongea nje na si ndani sasa tungepangia nje si anga tu na ardhi vingesikia
 
Muendelezo...

Judgement aumbuka, ni baada ya kudondosha kitendea kazi chake. Ni daftari dogo lililoandikwa mashairi ya kutongozea, yapo katika lugha saba tofauti...., orodha ya waliopo kwenye mpango wake yavuja. King'asti , Paloma , Jeska wamo tano bora, amu pia yumo.


Baada ya chama flani kusema kitaandaa maandaman ya kushinikiza waziri wa kusoma na kuandika ajiuzulu, imezuka tafrani, mheshimiwa haonekani tena Jf. Id ya Asprin yahusishwa. yasemekana King Kong III pia ni yake.

Yagundulika ID ya Zinduna ni ya yule mama tulipewa namba zake pale mwembeyanga, mwenyewe ashindwa kukanusha, atishia kujinyonga habari hii ikiandikwa gazetini.

Gazeti tamu sana hili.
Toleo lijalo silikosi !!!
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom