Kumbe kutuaga kwa mbwembwe vile unajua umeliharibu...!!?
wakati wengine tunasugua kichwa tupate chochote...
![]()
habai ndo hiyoo..Oooh tate nane iweeeeee!
Hahahahhahahahahahaha
kumbeeeeeee Evelyn Salt come this way! Kunani huko ya kweli haya!
Daaa jf raha tupu!
Kweli huu udaku chigonga hatii maguu!
Wapi mwl gfsonwin ya kweli hayoooooo?
Wadau mwandishi wenu wa kujitegemea chini ya uhariri wa Bishanga na TANMO natiririka kama ifuatavyo,,
7. Siri ya kilio cha Free Thinker yagundulika...., division Ziro form four yatajwa. mwenyewe asema anamwachia Mungu.
Heheh udaku spesho!
kuhusu mimi ni kweli lakini hayakuhusu ni ofisin si nyumbani mbona unahila wewe kunifuatilia takupopoa na mawe.............oooh