Jf Udaku Jumapili hii...

Jf Udaku Jumapili hii...

Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Tunaendelea....

Mapya yaibuka ndoa ya Madame B na Chimbuvu. Siri ya Chimbuvu kutomwacha Madame B yawekwa wazi,yadaiwa Ben Saanane kamuahidi ubunge wa viti maalumu kupitia vidole viwili, pia atishiwa kuchomewa uhamiaji akiendeleza ubishi. Chimbuvu asema hana ujanja. kabanga athibitisha hilo.


Vin Diesel afanyiwa kitu mbaya, yaelezwa alim pm mke wa mjeshi, kilichompata kinatisha, akimbia jiji na kujificha Kisarawe.

nitonye matatani, ni baada ya mke wa kigogo kuzaa kitoto kopiraiti nae, mwenyewe asingizia ujirani. Kigogo aapa akimkamata naye atamzalisha
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Zion Daughter kawekwa kinyumba na aliyekuwa mgombea uraisi 2010 kupitia chama flani hivi. Yule aliesema akipata uraisi atajenga kiwanda cha BINDUKI bongo kila mtu awe na yake ili tuheshimiane, afu naskia ni mja mwepesi tayari

Baba V ukuti fiki?!!!ejoooooo!!??...ndaga tata Kyala gwa kumwanya...uneeeee????mja mwepesi???Ikisu hiki kimalike..
i will sue ur magazine udaku...
loya Ruttashobolwa nahitaji utetezi hapa..
 
Last edited by a moderator:
Hapa lazima tumfuge kabisa!
Hebu thibitisha habari hizi si zakweli!
Baba V ukuti fiki?!!!ejoooooo!!??...ndaga tata Kyala gwa kumwanya...uneeeee????mja mwepesi???Ikisu hiki kimalike..
i will sue ur magazine udaku...
loya Ruttashobolwa nahitaji utetezi hapa..
 
Last edited by a moderator:
Baba V ukuti fiki?!!!ejoooooo!!??...ndaga tata Kyala gwa kumwanya...uneeeee????mja mwepesi???Ikisu hiki kimalike..
i will sue ur magazine udaku...
loya Ruttashobolwa nahitaji utetezi hapa..

Naona leo umeongea chote ili tu usiwekwe kwenye gazeti...hahahaha!!!
 
Last edited by a moderator:
Utajiri wa Bishanga freemason wahusishwa

Tunaendelea....

Mapya yaibuka ndoa ya Madame B na Chimbuvu. Siri ya Chimbuvu kutomwacha Madame B yawekwa wazi,yadaiwa Ben Saanane kamuahidi ubunge wa viti maalumu kupitia vidole viwili, pia atishiwa kuchomewa uhamiaji akiendeleza ubishi. Chimbuvu asema hana uja

Kwanza Chimbuvu siyo Rai....
Madame B hahitaji ubunge wa viti maalumu.Ana ofisi yake ila mapenzi yetu ndiyo ukamilisho wa furaha zetu.Nampenda sana ,na ananipenda.Leo amevaa night dress ya na g-string ya rangi..............!
 
Last edited by a moderator:
Utajiri wa Bishanga freemason wahusishwa



Kwanza Chimbuvu siyo Rai....
Madame B hahitaji ubunge wa viti maalumu.Ana ofisi yake ila mapenzi yetu ndiyo ukamilisho wa furaha zetu.Nampenda sana ,na ananipenda.Leo amevaa night dress ya na g-string ya rangi..............!



Afu kile kile cha uchokozi unachokipendaga wewe..........
babydoll-dress-with-matching-g-string.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom