The secretary
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 4,148
- 2,540
mtasemaaaaaaaaaa mtachokaaaaaaaaaaaa yeye katu mdomo hato ufungua.........
mambo yake yanamnyookea hana muda wa kupoteza. Madame B hapa waimbie ule wimbo wa mke wa mzee yusuph ule \time sina washkaji sina muda huo.........mimi nalisakaaaaaa tongeeeeeeee ili liende kinywaniiiiiiiiii.............................niende huku niende kuleeeeeee kuitafuta rizikiiiiiiiiiiiiii...............
hapa waimbie ule wimbo wa dada wa mzee Yusuph unaosema
semeni eeeee hamshushi hadhi yangu
semeni eeeeee simwachi mpenzi wangu
semeni eeeeeeeee buheri sasa niko kwaaanguuu
gfsonwin jiunge basi kwenye band mpya ya@Bishanga
Last edited by a moderator: