Wadau mwandishi wenu wa kujitegemea chini ya uhariri wa
Bishanga na
TANMO natiririka kama ifuatavyo,,
1. Siri ya
Evelyn Salt kuhamia singida yagundulika, fumanizi latajwa,
Slave aweka mambo yote hadharani.
2. Mia saba yamfanya Mjapani pori
Hiroaki Akahoshi atembee kwa miguu toka Mbagala hadi mbweni, mwenyewe asingizia ni mazoezi, afika akiwa hoi, ashindwa kutembea siku mbili.
3.
ummu kulthum aonekana nyumbani kwa
Baba V, uteuzi wa vyeo kwenye kamati mbalimbali za mahusiano watajwa kuwa sababu, atishia kuwaburuza mahakamani waandishi wa habari kama.wakimpiga picha.....
4. Siri yafichuka kuhusu Ban za mara kwa mara za
Baba V,
King'asti atupiwa lawama., mwenyewe ashindwa kukanusha...
5. Ukimya wa
gfsonwin jukwaani wazua maswali, mengi yasemwa,
Mr Rocky alonga. Asema mara ya mwisho alimuona amevaa tenite.
Vin Diesel atajwa...
6. Kisa cha
Madame B kumkimbia
Chimbuvu chawekwa hadharani, viti maalumu CHADEMA vyatajwa,
Ben Saanane ashikwa na kigugumizi.
7. Siri ya kilio cha
Free Thinker yagundulika...., division Ziro form four yatajwa. mwenyewe asema anamwachia Mungu.
8. Kashfa nzito yamwangukia mzee
Mtambuzi, ni kuhusu degree feki..., wizi wa vyeti watajwa.. Mwenyewe akimbilia kwa sangoma....
9
Bishanga kuanzisha bendi ya taarabu, yeye mwenyewe kuchuana na Mzee Yusuf. Saida kalori mkurugenzi msaidizi. Yatabiriwa mafanikio makubwa.....
10. Uhamiaji wamsaka
kabanga, . Ni kutokana na utata wa jina lake. ufadhili wa M23 wahusishwa... mwenyewe ajikanyagakanyaga kwenye maelezo yake. Busara za mwenyekiti zamuepusha kuingia Lupango.... amwaga machozi kama mtoto mdogo..........
Tutaendelea kuwaletea updates................ Stay tuned......