DuH! hapo pazito ngoja waje wenyewe wazungumze!
tatizo ni usalama, hilo tu.
Kuna mmoja katika mambo yakuonana tulipokuwa tunakaribia wapi tukutane akasema itakuwa ngumu kwani mimi naishi baharein nipo umangani hivyo labda usubiri nikija tanzania nikajua kweli jf full usanii siwanawake wala wanaume!!I like my freedom and my privacy.....niwe comfortable kusema nalotaka....ila wanaonana,ni kuuliza tu wanaonana lini then mjumuike pamoja!
Anakula watu huyo Wiselady? Nijibu basi.lkn cjui kwanini naogopa sana kukutana na wewe!
Unaogopa bure siyo enzi ya nyerere!!
Tuko pamoja mkuu! ila nilikuwa nawapisha magwiji kwanza niwasikie! maana hii miiko bado tunajifunza JF!kumbe wewe huusiki ma híi topic.
Inanisikitisha kuona wana jf tunavyoogopana hivi nikwa nini??kwanini wengi wetu hatupendi kukutana??tatizo nini??kwakuwa tumekuwa wasanii kwa sana au zaidi ya hapo??
lkn cjui kwanini naogopa sana kukutana na wewe!
Tuko pamoja mkuu! ila nilikuwa nawapisha magwiji kwanza niwasikie! maana hii miiko bado tunajifunza JF!
Hata mimi nakuogopa kweli hadi mwili unasisimuka l.o.llkn cjui kwanini naogopa sana kukutana na wewe!
Hata mimi nakuogopa kweli hadi mwili unasisimuka l.o.l