WiseLady
JF-Expert Member
- Jan 22, 2010
- 3,268
- 531
Kumbe we muoga tu, TF unamuogopa sasa mi ndo itakuwaje??
Ha ha ha basi sikuogopi tena kuanzia leo
we sikuogopi kiviiile!:decision:
Kumbe we muoga tu, TF unamuogopa sasa mi ndo itakuwaje??
Ha ha ha basi sikuogopi tena kuanzia leo
Kwa wana JF tuliofunga safari kutoka Dar kwenda kuonana na wana JF wa Arusha last year December it was a good experince to me i met friends there na wamenisaidia katika mambo mengi
Inanisikitisha kuona wana jf tunavyoogopana hivi nikwa nini??kwanini wengi wetu hatupendi kukutana??tatizo nini??kwakuwa tumekuwa wasanii kwa sana au zaidi ya hapo??
Unaogopa bure siyo enzi ya nyerere!!
we sikuogopi kiviiile!:decision:
Kwa wana JF tuliofunga safari kutoka Dar kwenda kuonana na wana JF wa Arusha last year December it was a good experince to me i met friends there na wamenisaidia katika mambo mengi
Keren tulijitambulisha kwa majina yetu halisi tunayotumia JF kitu kingine ni kwamba pia tulipata nafasi ya kuonana na founder wa JF Maxence MeloMimi naomba kuuliza jamani...mlipokutana ARS, mlijitambulisha kwa majina halisi au ya humu JF???
Ahaa ahaaa nina habari njema will let you si unajua wapi nitakupataPamoja na yote hayo imetupasa kupanda wote mlimani
Inanisikitisha kuona wana jf tunavyoogopana hivi nikwa nini??kwanini wengi wetu hatupendi kukutana??tatizo nini??kwakuwa tumekuwa wasanii kwa sana au zaidi ya hapo??
Mkuu nipo hapa Alaska vipi tuonane kesho mchana ni PM nikupe details zaidi. Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Ahaa ahaaa nina habari njema will let you si unajua wapi nitakupata
hashy....umemuota nani jamani??
karen
Nilifikiri Keren....
........l.o.l spell check please.... ni keren