JF top poster hits 30, 000+ posts and still craving for more JF records.................

Kuna kipindi idadi ya posts zako iliongezeka maelfu kwa gafla mpaka nikadhania NN kabadilisha jina...Hongera

kazi ya kuelimisha na kupeana khabari bado ina umuhimu wake..........
 
hebu ichangie na JF mana sio unaishia jisifia tu post nyingi

tatizo la mkatabafeki nionavyo ni upeo wako ni finyu..............................hivi unataka JF niwachangie nini zaidi ya muda na akili yangu......................unajua 30, 000 + zimenichukulia masaa manapi na wajua kwa saa limoja hulipwa shilingi ngapi?

Ungelijua mahesabu haya ungelijikalia kimya.....................................
 
tatizo la mkatabafeki nionavyo ni upeo wako ni finyu..............................hivi unataka JF niwachangie nini zaidi ya muda na akili yangu......................unajua 30, 000 + zimenichukulia masaa manapi na wajua kwa saa limoja hulipwa shilingi ngapi?

Ungelijua mahesabu haya ungelijikalia kimya.....................................
Napenda the way you think... ila na financial mchango ni muhimu pia ... ni mtazamo wangu tu. chukulia JF kama public infrastructure, huwezi kusema wewe hauta changia kwenye maintenance yake sababu unatumia sana... ni kweli unaiongezea thamani kwa kuitumia ila unatakiwa kuchangia pia, kama unaweza. Au we waonaje?
 
Una Post 30,000 but bado hujaona umuhimu wa kuichangia JF,
Umetoa mafanikio uliyoyapata but hujafanya jitihada zozote za kuifanya JF iendelee kuwepo.
Acha mkono wa birika. Changia JF ile iendelee kuwepo!
 
hebu ichangie na JF mana sio unaishia jisifia tu post nyingi

sijui mikatabafeki mwenzangu kwenye hili la kuchangia JF umechangia kiasi gani......................nitakapokuwa JF Premium ndiyo nitaanza kutoa michango................................when my input is positively recognized...................so ar naona lawama tupu lakini sibabaiki................na wababaishaji kama wewe..................
 
Una Post 30,000 but bado hujaona umuhimu wa kuichangia JF,
Umetoa mafanikio uliyoyapata but hujafanya jitihada zozote za kuifanya JF iendelee kuwepo.
Acha mkono wa birika. Changia JF ile iendelee kuwepo!

kama posts 30, 000 + huoni ni mchango basi tena without those posts..........JF will not be where it is today.....................Ask AshaDII she acknowledge I am one of the reasons she joined JF.................................and I am sure there are many more...........Hakuna mchango unaozidi kutoa posts nyingi zenye kulenga kuelemisha jamii........kuhusu mkono wa birika sijui hili linatoka wapi...............ningelikaa kimya bila ya kuwajuza khabari hii njema nadhani usingeliona nina mkono wa birika........................suala la kutoa pesa is a personal matter and you hardly know my fiscal situation to blurt that libelous halitosis........usiwe mwepesi wa kuhukumu kwani nawe utahukumiwa.........................By the way wewe usio na mkono wa birika umechangia ngapi JF hadi sasa.........................can I verify the records please..................au safari hii nyani ameona kundule.................My JF records remains outstanding and a difficult act to follow for anyone here new and old alike............

au mwenzetu ni wale waathirka ambao hupenda kupayuka na kuwanyapaa wenzao wakidhani hiyo ndiyo tiba?
 
Nimeshangazwa na mafanikio yangu ndani ya JF.........sikujua leo nitakuwa ninasherehekea posts 30, 000+.............it is a dream come true.......................It feels nice being me, at the moment...don't you think so?

"Then my mouth was filled with laughter and my tongue with singing. Then they said among themselves, His LORD has done great things for him..................Indeed our LORD has done great things for me and I am glad."
Psalms 126: 2-3

Good work Ruta! Keep it up ! Ckujua kuwa you're Jf's top poster
 
hongera mkuu naamini utakuwa unapost vitu vya kuelimisha na si kushukuru
 
Back
Top Bottom