JF PARTY 25th JAN Exlusive Interview with lara 1...

Bi Mkubwa umeadimika kama jasho la kuku....Jmosi tuonane

Unajua umeniwahi, Heri ya mwaka mpya. Naomba kama una namba yangu unitext nipate yako. Nitakutafuta i see. Ka simu kangu walikachapa hapa nimeanza kukusanya namba upya.
 
Unajua umeniwahi, Heri ya mwaka mpya. Naomba kama una namba yangu unitext nipate yako. Nitakutafuta i see. Ka simu kangu walikachapa hapa nimeanza kukusanya namba upya.

dah.na mimi naruhusiwa kukutext?
 

We nawe usitake kun'tibua nanilii bure.
Btw majukumu ya kumuhudumia mume yamenibana japo natamani sana kuja Escape 1 KakaKiiza.
Usijali.....maliza party....then uje kwenye Party ingine kwangu:mimba::becky:
 
Last edited by a moderator:
We nawe usitake kun'tibua nanilii bure.
Btw majukumu ya kumuhudumia mume yamenibana japo natamani sana kuja Escape 1 KakaKiiza.
Usijali.....maliza party....then uje kwenye Party ingine kwangu:mimba::becky:
Hongera


:A S-confused1:🙄Haya nitakuja!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…