Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,354
- 108,476
Namasteeeeeeee!!!
Hapa mjengoni nipo na bibiye lara 1 ambaye ni mmoja wa organizer wa mjumuiko wa raia wa JF wa mkusanyiko unaotarajiwa kutaradadi siku ya tar 25 mwezi huu huu wa Januari ndani ya Escape Moko pande za Kawe Beach...
Bi mkubwa huyu atajibu baadhi ya maswali yangu ili kuondoa kizungumkuti kilichopo kwa members wa JF wasioelewa utamaduni wa huu wa watu waliopo nyuma ya keyboards kujumuika liveeee bila chenga...
Angalizo:
Wadau wengineo naomba tuwe na subra kidogo, kama utakuwa na swali basi waweza liweka kiporo na kuliuliza baada ya mimi kumaliza interview hii.
Party ni yenu ninyi wadau hivyo kila shauku yenu itapata jibu stahiki, uzi huu utaendelea kuwepo hadi siku ya party hivyo swali lako litapewa tiba tu!!
NB:
Mtaopenda kuhudhuria tuma 30,000 TSH yako kwa moja ya namba hizi 0715729292 - TIGO PESA na 0752729292 MPESA, hakikisha unaongezea na service charge kwa ajili ya kutolea hiyo pesa.
Karibuni....
Hapa mjengoni nipo na bibiye lara 1 ambaye ni mmoja wa organizer wa mjumuiko wa raia wa JF wa mkusanyiko unaotarajiwa kutaradadi siku ya tar 25 mwezi huu huu wa Januari ndani ya Escape Moko pande za Kawe Beach...
Bi mkubwa huyu atajibu baadhi ya maswali yangu ili kuondoa kizungumkuti kilichopo kwa members wa JF wasioelewa utamaduni wa huu wa watu waliopo nyuma ya keyboards kujumuika liveeee bila chenga...
Angalizo:
Wadau wengineo naomba tuwe na subra kidogo, kama utakuwa na swali basi waweza liweka kiporo na kuliuliza baada ya mimi kumaliza interview hii.
Party ni yenu ninyi wadau hivyo kila shauku yenu itapata jibu stahiki, uzi huu utaendelea kuwepo hadi siku ya party hivyo swali lako litapewa tiba tu!!
NB:
Mtaopenda kuhudhuria tuma 30,000 TSH yako kwa moja ya namba hizi 0715729292 - TIGO PESA na 0752729292 MPESA, hakikisha unaongezea na service charge kwa ajili ya kutolea hiyo pesa.
Karibuni....
Last edited by a moderator: