Wakuu
Ukweli lazima usemwe, Jamii forum ipo kwaajili ya wanaDaslam, watu wa mikoani wako bize na facebook
Wamikoani wachache waliobahatika kusoma elimu ya vyuo vikuu na wale waliowahi kufika na kuishi dar kwa ndugu zao kidogo wanaitumia jf
Narudia tena, JF ipo kwaajili ya wanadar es salaam hivyo hata mnaotoa matangazo ya biashara na mengine wanajf tupo Dsm
Ukweli lazima usemwe, Jamii forum ipo kwaajili ya wanaDaslam, watu wa mikoani wako bize na facebook
Wamikoani wachache waliobahatika kusoma elimu ya vyuo vikuu na wale waliowahi kufika na kuishi dar kwa ndugu zao kidogo wanaitumia jf
Narudia tena, JF ipo kwaajili ya wanadar es salaam hivyo hata mnaotoa matangazo ya biashara na mengine wanajf tupo Dsm