JF members wa Dar pita hapa tutambuane

JF members wa Dar pita hapa tutambuane

Mchochezi

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2012
Posts
11,449
Reaction score
9,740
Hakuna ubishi Members wengi wa JF tunapatikana Dar, haya tufahamiane kama majirani kwa kucomment unapoishi kwa hapa Dar

Me napatikana Makongo juu, karibuni tufahamiane jamani.
 
Hakuna ubishi Members wengi wa JF tunapatikana Dar, haya tufahamiane kama majirani kwa kucomment unapoishi kwa hapa Dar

Me napatikana Makongo juu, karibuni tufahamiane jamani.
Wewe si nilikuona Mzizima?

Join Date : 29th February 2012
Location : Mzizima
Posts : 4,626
Rep Power : 85902104

 
Hakuna ubishi Members wengi wa JF tunapatikana Dar, haya tufahamiane kama majirani kwa kucomment unapoishi kwa hapa Dar

Me napatikana Makongo juu, karibuni tufahamiane jamani.

Nani aliekwambia kuwa wana jf wengi wanaishi dar es salaam!, hiyo ni sawa na kusema watanzania wengi wanaishi dar es salaam.
 
Napatikana 1barabara ya barack obama pale magogoni
 
Mpange na mipango ya kupambana na panya road, Sio kulalishwa SAA moja na hao watoto
 
Hakuna ubishi Members wengi wa JF tunapatikana Dar, haya tufahamiane kama majirani kwa kucomment unapoishi kwa hapa Dar

Me napatikana Makongo juu, karibuni tufahamiane jamani.
Mi niko mbalizi mbeya tupo kama mia tano hapa na tunajuana ukizingua tunakulipua jf. Dar mpo wachache sna.
 
Aiseee...

Mkuu
kabla ya jiji Letu kuitwa Dar-es-salaam lilikuwa linaitwa MZIZIMA! Hivyo umenikumbusha tulipotoka.

Mimi nipo Tuwatugawe wenye mzizima yao watawafahamisha ni wapi!
 
Dar Es Salaam, wilaya ya Temeke, kata ya Azimio, mtaa wa Kichangani karibu na msikiti mkubwa wa ijumaa, hapo ndiyo home wakuu kama kuna member yeyote anaishi maeneo hayo basi si vibaya tukifahamiana!
 
Kutambuana kwa kutaja maeneo anayokaa mtu haitoshi,ni vema mtu akasema jina lake halisi,anakaa wapi na mkate wake wa kila siku anautafutia wapi
 
Back
Top Bottom