JF members hawa wako wapi? Tunakosa michango yao

JF members hawa wako wapi? Tunakosa michango yao

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
123,237
Reaction score
98,199
Kwa wahenga wa JF hawata jiuliza maswali mengi wakusikia hayamajina.

Chabruma, Lizaboni, Mcubic, Msalan.
Hawa watu walikuwa ni wapiganaji wa kweli wa CCM, ukimuondoa Mcubic ambaye alikuwa upande wa upinzani.

Ni muda mrefu sasa hatuwaoni jamvini hivyo basi naomba mwenye habari zao tujulishane jamani.

Sina zaidi ya hayo wana familia wa JF.
 
Kwa wahenga wa jf hawata jiuliza maswali mengi wakusikia hayamajina.

Chabruma, Lizaboni, Mcubic, Msalan.
Hawa watu walikuwa ni wapiganaji wa kweli wa ccm ,ukimuondoa Mcubic ambaye alikuwa upande wa upinzani.

Ni muda mrefu sasa hatuwaoni jamvini hivyo basi naomba mwenye habari zao tujulishane jamani.

Sina zaidi ya hayo wana familia wa jf.
Kuna @malariasugu, Somoche
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom