JF Member of The Year is...

JF Member of The Year is...

Thread nzuri sana hii,nashauri kama vipi tungeweka categories mfano:

1.Mchangiaji Bora wa Jukwaa la Siasa

2.Mchangiaji Bora wa Jukwaa la Kimataifa

3.Mchangiaji Bora wa Jukwaa la Michezo na Burudani

4.Mchangiaji Bora wa Jukwaa la Mambo ya Kikubwa n.k

-Pia mchangiaji anayeongoza kwa Post na thread nyingi(Mzee Mwanakijiji) apewe tuzo..Pia awepo Overall member of the year..

-BTW,Mkuu Invisible;hivi ile Tuzo ya JF Member of the Month iliishia wapi??

-Nguli kama vp uweke sehemu tupige kura ili kumpata huyo JF Member of the year

-Thread nzuri sana hii mkuu...Pamo jah
kungekuwa na posibilitiiz ya kukamata senksi tatu kwa wani post NINGEKUTWANGA SENKSI KAZAA
 
Thread nzuri sana hii,nashauri kama vipi tungeweka categories mfano:

1.Mchangiaji Bora wa Jukwaa la Siasa

2.Mchangiaji Bora wa Jukwaa la Kimataifa

3.Mchangiaji Bora wa Jukwaa la Michezo na Burudani

4.Mchangiaji Bora wa Jukwaa la Mambo ya Kikubwa n.k

-Pia mchangiaji anayeongoza kwa Post na thread nyingi(Mzee Mwanakijiji) apewe tuzo..Pia awepo Overall member of the year..

-BTW,Mkuu Invisible;hivi ile Tuzo ya JF Member of the Month iliishia wapi??

-Nguli kama vp uweke sehemu tupige kura ili kumpata huyo JF Member of the year

-Thread nzuri sana hii mkuu...Pamo jah

And ze Winner is.................????

UJENGELE $CO.LTD!
 
kula senksi basi....hapo pa red ni kumaanisha hvyo hivyo miw napenda watu chap chap kama wewe...ZD chuma chako ki motoni!!!

Noted with Many thanks and filed for further office use and reference. Ila kama kawa kwenye red huwa unaniachaga njia panda sana! Wot du yu miin?
 
Noted with Many thanks and filed for further office use and reference. Ila kama kawa kwenye red huwa unaniachaga njia panda sana! Wot du yu miin?

HEHEHE!
MPWA,stuka.
huyu anakomplai na thiori ya KUDUMISHA MILA
 
Hahaha! Umekula Senksi kwa kipaji chako cha unajimu. LOL! Mpwaaaz! Ze Pillarzzzzz!
ha ha ha ha!
nilisomea postigraduate ya unajimu MWANANYAMALA-KWA KOPA.chuo cha sheikh yahaya
 
Noted with Many thanks and filed for further office use and reference. Ila kama kawa kwenye red huwa unaniachaga njia panda sana! Wot du yu miin?


Ah bwana we sasa umeanza kunilet down...yani nakupigia debe wewe bado wanirudisha backwards...namaanisha ZD achunge nisije nikapindua serikali...ikawa ya majeshi!!!! 😉
 
Ah bwana we sasa umenaza kunilet down...yani nakupigia debe wewe bado wanirudisha backwards...namaanisha ZD achunge nisije nikapindua serikali...ikawaya majeshi!!!! 😉
kimsingi mama hautapindua!utakuwa unadumisha mila za kina shemeji!(POLYGAMISM)

karibu sana.milango ii waazi!😀
 
Ah bwana we sasa umenaza kunilet down...yani nakupigia debe wewe bado wanirudisha backwards...namaanisha ZD achunge nisije nikapindua serikali...ikawaya majeshi!!!! 😉

Hahaha! Usijali, mila zetu zinaruhusu! Mtoto mkali yule, lakini malijendi tunajua namna ya kuwatuliza. Ni-PM basi!
 
ha ha ha ha!
nilisomea postigraduate ya unajimu MWANANYAMALA-KWA KOPA.chuo cha sheikh yahaya

hicho ni kishiriki chenyewe kipo magomeni mapipa mtaa wa Idrisa mpwa
 
kimsingi mama hautapindua!utakuwa unadumisha mila za kina shemeji!(POLYGAMISM)

karibu sana.milango ii waazi!😀

Thats my boy! Umekula senksi kule na hapa hii hapa. SENKSI!
 
Hahaha! Usijali, mila zetu zinaruhusu! Mtoto mkali yule, lakini malijendi tunajua namna ya kuwatuliza. Ni-PM basi!

sijaondoka, nanukuu nikitoka hapa nayapeleka mazima mazima sipunguzi labda niongeze tu test!!! Iribini u know me good hahaaaaaa lol!!
 
Thats my boy! Umekula senksi kule na hapa hii hapa. SENKSI!
unajua ninachompendea shishi,huwa anaanza anakataa weeeeeeeeeeeeeee halafu at last ANAKUBALI!😀
AMESHAKUBALI HUYU!ni tradishenalisti mzuri sana huyu
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!
 
sijaondoka, nanukuu nikitoka hapa nayapeleka mazima mazima sipunguzi labda niongeze tu test!!! Iribini u know me good hahaaaaaa lol!!
Hivi muda wa kusign out si tayari? Unafanya nini hapa? Ukimwambia akinimwaga ujiandae wewe kudumisha mila!
 
unajua ninachompendea shishi,huwa anaanza anakataa weeeeeeeeeeeeeee halafu at last anakubali!:d
ameshakubali huyu!ni tradishenalisti mzuri sana huyu
igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!

iggweeeeeee!
 
Back
Top Bottom