FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
hiyo prize anatoa nani ,wakati wa makabidhiano naomba niwepo maana mie ni mwanachama mgeni lakini aliye hai forever
hiyo prize anatoa nani ,wakati wa makabidhiano naomba niwepo maana mie ni mwanachama mgeni lakini aliye hai forever
ningependekeza apewe pesa/mshiko hii ingesaidia mijitu kama Nyani Ngabu ianze kuandika pweinti....Idadi ya posts itaangaliwa, contents ndani ya posts itaangaliwa, points za mhusika zitaangaliwa, activity itaangaliwa na automatically system itatoa stats za kueleweka nasi tutamtangaza Member of the Month na atakuwa awarded certificate maalum (inatengenezwa) kwa nickname yake hapa JF.
Nimesomeka mkuu?
ningependekeza apewe pesa/mshiko hii ingesaidia mijitu kama Nyani Ngabu ianze kuandika pweinti....
Mhhh unataka kumpa nini Fidel? Wewe si umPM tu hahaha
ningependekeza apewe pesa/mshiko hii ingesaidia mijitu kama Nyani Ngabu ianze kuandika pweinti....
nahisi kigezo cha kumiliki laptop nacho kiingizwe, unaonaje junius?Masikini Laptop yangu!
kwa hiyo haitakuwa haki kuwashindanisha kwa mfano wakina fidel ambao labda net inakamata mpaka ****** na wale ambao mpaka wapange foleni nipo waingie cafe.
Nasikia umefulia wewe. Hebu nicheki nikutumie Western Union
Dah habari za siku mama umepotea kweli vp majukumu nini yamekuelemea?
dah ngoja nimtafute nimuwezeshe mpwa wangu dah kufulia wakuu msiombe.
Nipo wangu! nilifikiri umelala mida hii, nikuseme vizuriDah habari za siku mama umepotea kweli vp majukumu nini yamekuelemea?
hivi mchungaji upo?Napokea pongezi kwenye PM tu sorry!