Hakuna anaeogopa hapa .na kwa vile nina asili ya Pemba naamini kabisa haki inadaiwa na kuhakikishwa kuwa inapatika kwa bei yeyote ile,kukubali kukaliwa kimabavu bila ya faida ni hasara kwa vizazi vijavyo na kurudishwa utumwa chini ya mkoloni mweusi.
Tulidai Uhuru ili kujikomboa na kuondokana na tabu za wakoloni weupe ,tuliamini kuwa sasa tutakula matunda ya uhuru lakini tuzipatazo ni sijui ni hasara au ni faida ,lakini majibwa yanafaidika sana yanapofugwa japo hutumika kuwinda ,ila yanapoachiwa na kuwa koko ,uhuru walio nao ni kupigana wenyewe kwa wenyewe na kuuwana ndio ukawakuta wengine hawana mikia wengine hawana macho. Tunaendelea kurapu ,nilikuwa nauliza tu ila naona majawabu yamekuwa mengi.
Nilitegemea nitaambiwa wapo au hawapo ,kwisha, sasa iliyotokea ni kubabaishana ,ninavyofahamu web huweza kutumika kuwanasa au kuwachunguza wengine ,na mwenye webu atakuwa na taarifa au atakuwa anatumiwa kuruhusu kukiz za upepelezi kuwekwa kwenye webu yake ,ndio maana yake.