JF kuna upapasi

nimetuma sana maoni lakini hakuna hata siku moja waliyorespond hata receipt ya post.
pili kama hawayatilii maanani maoni yetu humu sidhani itasaidia kwa mtu kujipendekeza kupost maoni yake ktk web hiyo.
tatu ni kwamba kama web ya state house haipo up to date unategemea uendeshaji wake upo makini kweli? nahisi ilikuwa

Mhh....nadhani wananchi inabidi tuwe ngangari kudai uwajibikaji wa vyombo mbalimbali serikalini, tetesi nilizosikia(naomba kusahihishwa) ni kuwa website ilitumia zaidi ya TShs 300 milioni sasa kama hakuna linaloendelea kama maoni yako yalivyo ina maana hela imepotea kama ilivyo kwa ufisadi mwingine tunaoujua.
 
nimetuma sana maoni lakini hakuna hata siku moja waliyorespond hata receipt ya post.
pili kama hawayatilii maanani maoni yetu humu sidhani itasaidia kwa mtu kujipendekeza kupost maoni yake ktk web hiyo.
tatu ni kwamba kama web ya state house haipo up to date unategemea uendeshaji wake upo makini kweli? nahisi ilikuwa zimamoto


Hata mimi nilijaribu kutafuta majibu lakini sikuambulia chochote. hii website ipo kama pambo tu. sidhani hata kama kuna mtu aliyepewa dhamana ya kui-update.
 
Mimi pia ni nimetuma majibu yangu kwenye hiyo website yao pasipo kupata majibu,nimekata rufaa lakini wapi mwishoe ndio nimeona ngoja nije huku JF baada ya mshikaji Tumsam kunitonya kuhusu jf.
 
Mimi pia ni nimetuma majibu yangu kwenye hiyo website yao pasipo kupata majibu,nimekata rufaa lakini wapi mwishoe ndio nimeona ngoja nije huku JF baada ya mshikaji Tumsam kunitonya kusuhu jf.

Hata mimi nilijaribu kutafuta majibu lakini sikuambulia chochote. hii website ipo kama pambo tu. sidhani hata kama kuna mtu aliyepewa dhamana ya kui-update.

Mhh....nadhani wananchi inabidi tuwe ngangari kudai uwajibikaji wa vyombo mbalimbali serikalini, tetesi nilizosikia(naomba kusahihishwa) ni kuwa website ilitumia zaidi ya TShs 300 milioni sasa kama hakuna linaloendelea kama maoni yako yalivyo ina maana hela imepotea kama ilivyo kwa ufisadi mwingine tunaoujua.

..well said
more will soon post their burden towards this tax money-eater website.
mwanakijiji alishalalama sana mwanzoni nikadhani anatania nikaenda kupost na kupost na kupost mpaka nikakoma mwenyewe, baada ya kuona ni nonactive nikaamua kuaply ubunge wa kuteuliwa kupitia web hii walah sikuchukuliwa hatua wala nini hivyo inamaana hata haina Moderators....
 
Mimi pia ni nimetuma majibu yangu kwenye hiyo website yao pasipo kupata majibu,nimekata rufaa lakini wapi mwishoe ndio nimeona ngoja nije huku JF baada ya mshikaji Tumsam kunitonya kuhusu jf.

Uliulizwa maswali?.....(joke) nafikiri ulitaka kumaanisha ulituma maswali, au siyo?
 
Website ya wananchi ipo siku nyingi tu.....ila sijui kama imeshawahi kutangazwa kuwa ipo na inafanya kazi
Hiyo si walitengeneza Raha.com na wanai-host wenyewe kwa ushirikiano na CATSNet?

See this:

i294_Wananchi.jpg


Mi nilidhani ni ya majaribio... Kila kitu pale kiko dormant sijui kwanini. Hakuna majibu kwa kero walizopelekewa na wala sidhani kama muda upo tena, 2010 ndo hii tushaanza kuionja kwa uchaguzi wa serikali za mitaa mlangoni.
 
Hiyo si walitengeneza Raha.com na wanai-host wenyewe kwa ushirikiano na CATSNet?

See this:


Mi nilidhani ni ya majaribio... Kila kitu pale kiko dormant sijui kwanini. Hakuna majibu kwa kero walizopelekewa na wala sidhani kama muda upo tena, 2010 ndo hii tushaanza kuionja kwa uchaguzi wa serikali za mitaa mlangoni.

Haya ndio mambo ya kutokuwa na maandalizi.......kama wanataka kufanya kazi kutumia ICT ni kweli kila wizara, idara at least inabidi iwe ndani ya mtandao na kuwe na wahusika wakushughulikia kero husika zinazokuwa posted....na watu wa kufuatilia nini kinaendelea kuhusu kero/maswali n.k yanayotumwa.

Sidhani kama kuna maandalizi kama hayo yalifanya, nadhani wao walifikiri ni kutengeneza tu website hawakujua kuwa inahusisha na kubadilika jinsi idara/wizara etc zinavyofanya kazi.
 
walikuwa wanazimamoto wakuu.

hakuna lolote pale.

baba zetu walichezewa akili zao kwa ahadi lukuki zisizotekelezeka ila siyo SISI (isije ikawa baba zetu nao wanasoma humu)

kula tano Invisible
 
usiogope usalama wa taifa wewe toa hoja watu wachangie, hapa jf tupo kujenga si kubomoa na pia hao usalama nao wanataka habari ili watambue yanaoendelea so usiogepe endelea kutoa maoni yako mzee,
Sisi tutoe maoni yetu alimradi lengo ni kuijenga nchi yetu.
 
Unaogopa nini Mwiba?
Hawa unaoogopa wapo hapa jamvini na wanakusanya yote tunayosema hapa. Sasa shida ni nini? wacha waendelee kufanya hivyo. Si ni kazi yao? wengine umekuwa ukibishana nao sana. Wasikutishe.
Kama wanataka kujua nani kasema si wataona na kujua? So what? si wewe umetumia haki yako ya kusema? kwani na hilo wanazuia?
Toa hoja mkuu wacha woga. Kama una data lete. Si unajua baada ya efumesi kuondoka jamvini data siku hizi si nyingi:D
 
Eti Usalama wa Taifa,
Hela wanashinda wanachota kwenye hazina za serikali, raslimali zinazidi kwenda nje, mafisadi wanaendelea kutamba, iweje wayache hayo then, wakimbilie sisi tunaojadili kuijenga nchi? Wao kama wanashauku, wanendelee kupata nondo za humu JF ili wakaendelee na kazi zaoo. Hapo vipi?
 
Sisi tutoe maoni yetu alimradi lengo ni kuijenga nchi yetu.
Kujenga kwa upande wao inaonekanana ni kubomoa ,fisadi inakuwa ni kiongozi ambae wanamtolea saluti ,lakini ukiwambia wanaemtolea saluti ni muhujumu uchumi aloo itakuwa umewapatia kibarua ,si umeona yule aliemzaba Mwinyi ,jamaa wa usalama walionyesha fani yao ,kwa yule kijana mmoja ambae alikwisha maliza kazi ,alieruka kun-fu ,judo kuna mmoja nasikia alinguruma kama Bruce Li ,ukisikiliza ile kideo ,unaweza kuisikia sauti yake kwa mbali ,mwanzo nilikuwa siamini lakini nikaisikiliza kwa makini ,na kuthibitisha kuwa ni ukweli.
 
Kusema ukweli hapa Tanzania hakuna usalama wa taifa,ila kuna usalama wa viongozi nafamilia zao tu.haiingii akilini hujuma zinazofanyika hapa Tz,anzia mali asili zinavyotoroshwa,madini yanachotwa tuu.hata hela zetu zinaibwa BOT.lakini jamaa wapo wananona tu.sasa utaitaje usalama wa taifa wakati hawazuii hizo hujuma wala habari hawana ila askari akikosea kuongoza msafara inakuwa taabu wanachachamaaa hao.waarabu wameigeuza bandari kitengo chao jamaaa wapoooo tu usingizini,sijui lakini wanaboa sana,kujitutumua kwenye mambo ya kijinga huwawezi,TAFAKARI
 
Back
Top Bottom