JF Kifungo Countdown

Hivi kwa watu tuliopo humu wanajua hatujui kutumia VPN 😹😹

Wengine saa hii tuko abroad 🀣
Fisi wewe 🀣🀣... Kuna wakati ilipotezwa kabisa hata ukitumia VPN inakuletea ujumbe wa kuomba msamaha kwamba, japo seva zao zipo nje ya Tanzania inawabidi watii masharti sababu kuna leseni walipewa na mamlaka za Tanzania

Hujakutana na kitu kama hicho?
 
Hamlali? Muda huu kwetu tunajiachia tu 😹😹
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…