Fisi wewe π€£π€£... Kuna wakati ilipotezwa kabisa hata ukitumia VPN inakuletea ujumbe wa kuomba msamaha kwamba, japo seva zao zipo nje ya Tanzania inawabidi watii masharti sababu kuna leseni walipewa na mamlaka za Tanzania
Fisi wewe π€£π€£... Kuna wakati ilipotezwa kabisa hata ukitumia VPN inakuletea ujumbe wa kuomba msamaha kwamba, japo seva zao zipo nje ya Tanzania inawabidi watii masharti sababu kuna leseni walipewa na mamlaka za Tanzania