BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,009
hahahah lol
ntakwambia siku nyingine nliwaza nini lol
ulienda rehab ipi aisee maana na mi nataka kwenda huko
hahahah lol
Hahahaha lol! Sijapona sawa sawa maana huwa kaugonjwa kanarudirudi katika baadhi ya siku hivyo subiri kwanza kama nikiona kaugonjwa kamepotea kabisa kabisa Ndio nikupe hilo jina la hiyo Rehab Center, maana naogopa usije ukaliwa pesa zako halafu ukaanza kunilaumu, BAK umenipoanza nimepoteza pesa zangu chungu nzima ile Rehab yako imejaa wasanii watupu hahahahah lol!
NB: Hivi Quarter and Semi Finals za Rugby kule NZ zitakuwa lini? Nipe ratiba kama muda utaruhusu nataka niangalie.
Haya uwe na weekend njema