:( JF inavyo wachanganya watu :(

:( JF inavyo wachanganya watu :(

najitoa jumla lol..

Halafu umeona wametoa thanx zetu zote za zamani ....lol

Ha ha ha unajua nilikuwa sijaona mie naona hawajatutendea haki kabisa tuanze upya??

Dah haya ngoja nianze kuzigonga nilikuwa sijaziona sante sana
 
I have restricted myself to "authrized JF hours". Nilikua naelekea kubaya. Hours zenyewe ni JF by night (of course!)
 
Ha ha ha unajua nilikuwa sijaona mie naona hawajatutendea haki kabisa tuanze upya??

Dah haya ngoja nianze kuzigonga nilikuwa sijaziona sante sana

Mi inaniuma sana hahahaha lol
Hata la kufanya linakosekana inaniuma sana ...🙁

Alahhh mi nshaanza kugawa tu .. lol
 
I have restricted myself to "authrized JF hours". Nilikua naelekea kubaya. Hours zenyewe ni JF by night (of course!)

Well
that's Brilliant ..

So many of us tried to cut down ... (ni vigumu)
as long is not interfering with other (important )things .. "is all good"
[h=2]The Following User Says Thank You to RussianRoulette For This Useful Post:[/h]
afrodenzi (Today)​
 
Mi inaniuma sana hahahaha lol
Hata la kufanya linakosekana inaniuma sana ...🙁

Alahhh mi nshaanza kugawa tu .. lol

Dah kweli inaumaaaaa aisee toka elfu tano mpaka ziro kweli wametuweza.

Ngoja nizigonge gonge angalau
 
Mambo ya kudownload jamaa nilisikia analalamika demu akipiga gori anawasha laptop anaanza kuchat face book ikisimama anamwita anachapa demu anarudi tena kwenye face book duhh mademu wasomi sio kabisa
 
Dah kweli inaumaaaaa aisee toka elfu tano mpaka ziro kweli wametuweza.

Ngoja nizigonge gonge angalau

Yaahh
wametuweza kwa kweli loohhh
itabidi to Join A-team ya Infi hahahah lol
maana nyingi "thanx" zilitoka pale
unakumbuka mpaka elfu nne na hahahah lol
 
Mambo ya kudownload jamaa nilisikia analalamika demu akipiga gori anawasha laptop anaanza kuchat face book ikisimama anamwita anachapa demu anarudi tena kwenye face book duhh mademu wasomi sio kabisa

khaaaaa ndo nini tena hii jamani ..
inatisha kwa kweli ...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom