JF imemkosea nini Diva mpaka katukani hivi?

Status
Not open for further replies.

CPA

JF-Expert Member
Mar 1, 2011
809
354
Hizi ni tweets za diva wa clouds.
Members mmefanya nini mpaka kaandika hivi
"@Divaakamimi: Jamii Forums z Some stupid mother****ers!. U shuld go and **** your ass, Go **** yourself!."
"@Divaakamimi: **** off!. Pissed off!. Jamii forums is twisted psycho Bitch"
"@Divaakamimi: Jamii Forums **** U!."
 
kuna thread imemchana kuwa ajira yake ya cloudsfm ni ya kupewa kimagumashi ,hana qualifications!naona ukweli huu umemuumiza sana.yeye badala ya kupangua hoja kaamua kutukana jf.sasa naamini ni kweli ajira yake ilikuwa ya kifataki
 
Mimi napata wasiwasi hajui hata Jf ni nini, au alipoandika hizo meseji alikuwa na hasira sanaalikuwa amelewa/ akaandika tu hovyohovyo,
Au ana upeo mdogo sana wa kufikiri au ana matatizo ya akili,
 
tatizo huyo dada anatafuta pedeshee sasa huku kawakuta wenye akili timamu wanamchana tu hawaangalii sura hahaaaaa pole diva wewe ni minute kupambana na JF IS BETTER TO PULL SEFT CATCH LATHER THAN A TRIGER
 
Hizi ni tweets za diva wa clouds.
Members mmefanya nini mpaka kaandika hivi
"@Divaakamimi: Jamii Forums z Some stupid mother****ers!. U shuld go and **** your ass, Go **** yourself!."
"@Divaakamimi: **** off!. Pissed off!. Jamii forums is twisted psycho Bitch"
"@Divaakamimi: Jamii Forums **** U!."
:nono:
 
Mimi napata wasiwasi hajui hata Jf ni nini, au alipoandika hizo meseji alikuwa na hasira sanaalikuwa amelewa/ akaandika tu hovyohovyo,
Au ana upeo mdogo sana wa kufikiri au ana matatizo ya akili,

I have a feeling yeye ni member wa jf pia..kuna siku nlimsikia akitaka kuarrange interview na Mkjj, i have a feeling amemjua mwanakijiji kupitia jf pekee...kwanza ngoja niitafute hiyo thread iliyomponda..labda ntaisoma id yake
 
suntzu17_1024.jpg
 
Maskini mbona hawezi kupambana na jf ana jichanganya tu! Habari zake hazitaachwa kujadiliwa!
 
Mpuuzi.
Angejua kuwa haumizi hisia za yeyote, sanasana anajiumiza mwenyewe tu.
 
Kuna watu tukiwajadili hapa jf nikupoteza rasilimali. Mmoja wapo ni huyu.
 
Hizi ni tweets za diva wa clouds.
Members mmefanya nini mpaka kaandika hivi
"@Divaakamimi: Jamii Forums z Some stupid mother****ers!. U shuld go and **** your ass, Go **** yourself!."
"@Divaakamimi: **** off!. Pissed off!. Jamii forums is twisted psycho Bitch"
"@Divaakamimi: Jamii Forums **** U!."

Jf siyo mchezo, pumba zote lazima zichambuliwe. pole diva. Mwenye picha yake atuwekee wadau.
 
Simfahamu vizuri huyu Diva lakini kwa maelezo mafupi ya maneno yake aliyoyaandika, hakika atakuwa na mambo haya:
1/Kashfa zinazoandikwa juu yake zina ukweli.
2/Upeo wake ni mdogo sana.
3/Ni msichana asiyejiheshimu.
4/Ana tatizo kubwa la kiakili.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom