JF Hip-hop frestyle battle

JF Hip-hop frestyle battle

Daby mzee wa chit chat, na jukwaa la wachumba

Unafanya harakati, kipi leo kimekukumba

Anga zako mademu sipati, utasikia oh nina mchumba

Pm Miss chagga hanifuati, eti kisa sijapata mavumba

Kwa mapenzi nakonda, Niffah amesha wahiwa

Au nimfuate Mahondaw, ila kuna mtu anaefagiliwa

Miss natafuta anaponda, raha na haijafunguliwa

Ila nikimcheki ataniponda, maana hapendi kusalitiwa

Mtu mzima bado natweta, je Valentina atanipa habari

Mvumbo nampenda Preta, ila anapenda sana magari

Mahips ya mtoto Lisa rina, kama nina nusu kaputi

Daby MMU kule una jina, nivutie japo mtoto Ukhuty
Htari sana hii kitu
 
Flow zishachaji;
kichwa na midadi;

ndani ya jf;
hizi voko zinakiki;

mistari ina vat;
haijakwepa kodi;

penye maslahi;
ndo ninapopiga hodi;

so usije kichwa kichwa;
hii mistari ina makwenzi;

wanasema niko loko;
ila nasound kinyamwezi;

ma emcee akili ndogo;
body lemutuz;

so ukiniona mi nachana;
its better ukasizi; yoooooh
 
Flow zishachaji;
kichwa na midadi;

ndani ya jf;
hizi voko zinakiki;

mistari ina vat;
haijakwepa kodi;

penye maslahi;
ndo ninapopiga hodi;

so usije kichwa kichwa;
hii mistari ina makwenzi;

wanasema niko loko;
ila nasound kinyamwezi;

ma emcee akili ndogo;
body lemutuz;

so ukiniona mi nachana;
its better ukasizi; yoooooh
Mkali wa hz kaz nda yaJF nakipakaza

wacheki watt wamama jinsi mikia wanavyo fyata

nimekuja kuwaonyesha nyie matoz msojua

kicwa kimoja jesh moja,naibeba JF nzima

mistar yenu ya tarabu miss chaga anatambua

usicjinganye ukabatle na mi
JF utaiona ya moto.

mkali wenu.
 
Kumbe kwenye msafara wa mamba ni kweli hata kenge wapo!!!🙂🙂🙂.......Tokea lini wewe ukaipenda au kuijua hiphop hadi unacomment wa kwanza hapa???........unacomment tu kisa ni uzi wa Daby!!.......Mungu anakuona!!🙂🙂🙂
 
Mtoa zawadi Daby mpaka sasa hivi hajasema zawadi ni nini na washiriki tumebaki wangapi.
Castr nilikuwa nikipanga battle raia wanapotea sijui walikuwa wanaenda kuandika kwanza. Nwei kama B click yupo free aje mpige battle shunie achague mada...haha
 
Castr nilikuwa nikipanga battle raia wanapotea sijui walikuwa wanaenda kuandika kwanza. Nwei kama B click yupo free aje mpige battle shunie achague mada...haha
Sahz tumekuja tulio active we panga batle watu tuflow
 
Kumbe kwenye msafara wa mamba ni kweli hata kenge wapo!!!🙂🙂🙂.......Tokea lini wewe ukaipenda au kuijua hiphop hadi unacomment wa kwanza hapa???........unacomment tu kisa ni uzi wa Daby!!.......Mungu anakuona!!🙂🙂🙂
Ngoja nikafute coment yenyewe
 
Back
Top Bottom