JF Hip-hop frestyle battle

JF Hip-hop frestyle battle

Yoyo Mandingo
ile mida ya mingo
ndoo hii mtoto wa kigogo nampa kigogo kitamu mpaka tamu iwe hamu!!!
Mhhh pumzi imekata wakuu...


Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Pumzi imekata namimi naunga kamba.Kwa karata natakata ni sakata na utata.Kipaji ndani ya brain madini pima kinywani.Kama huoni mi miwani ya macho sina kificho.Natoa kila kilicho na kubariki kisicho.Mi muhimu ka handaki kwenye uwanja wa vita na thamani kama ndimu we ni supu shombo kata .
 
Kumbavu nini hiki unaandika?/
Kelele mingi unayoita mistari ni komedi za futuhi/

Unasingizia ugreat thinker/ kumbe kufreestyle hujui/

Hautamaliza dakika/ nakutoa kwa left hook

Mistari kama upo gest/ mistari shit na sexless/

Hapa unapumulia gesi/ na flow hard mi ni borderless/

Ukiniquote na kunijibu utajitafutia kesi/
Sitishiki na panya/
kwa miruzi nakutawanya/
jiangalie, vibaya nitakufanya/ utatafuta sehem ya kupenya/ wenzako nimewatanya/
unakuja na mistar ya kusengenya/
We ni mlain zaid ya nyanya/
Taratibu nakutekenya/
Hata kama ukisengenya/
lord atakuponya
 
Mmmh dogo unanuka uvundo
Mi jemedar sipagaw na nyodo
Unaleta slang mbovu,au ushabanw na kojo
Au hujui kiswahil vema, maana unaongea kam MAUDODO

Funga bakuli boy, nachek game ujue kelel zako c injoi
Freestyle mbovu, au we ni mwanasesere aka we ni toi

Fahamu kuwa hapa nimekita na hunitoi
Mi ni karabai taa kubwa, we mjing ni koroboi

Shindan na dem ako ku battle kwang we ni cheichei
Ndioman nakufany ninavyotak na hunitoi
Mamito nipo hapa show off tukafanye gheto/
Natokea street usijali lugha jali mgegedo/
Game ipi bora? Unayocheki au nitakayokuchezesha kesho?/

Hilo tope haina shida niko tayari kuja bondeni/
Bonde lako limenteka sitak kutazama pembeni/
Show kama kawa itaanzia sebuleni/
Unataka threesome? Usijali njoo na shoga yako Penny/
 
Ebwana sikuuona Uzi.. Japo ni wa Leo ila comment nyingi kama umeanza juzi.. Niko safi.. Kombati mithili ya Gaddafi.. Namiss viroba.. Niko high huwezi nikuta soba.. Mitindo ya kughani.. Daby piga beat dzain za majani.. Keyon nipe kipaza sitaki utani.. Nadunda kwenye beat mithili ya nyani kwenye miti.. Niko maskani nakula kijiti..

Mazee ngoja nikae sawa
Usikae sawa weka mguu upande/
Mistari yako haijasoma imekimbia umande/
Mi ndo shule ya mashairi faulu uje kusoma/
Nakupa ngumu mpak unaona noma/
 
Now its ma time, kwenye booth nionyeshe hizi hasira

Wanasema nina flow tamu, kama sukari ya kagera

Emcees mipango mingi, kama jukwaa la uchumi na biashara

Wakati me ndo king, nawakilisha jf mubashara
 
Real Rasta mfuasi wa genge'
Naigeuza JF geto kama kijenge,
Huu msafara wa marapa haufuatwi na makenge...
Kwenye kundi la genge, we ni nyanya ama karoti

Muulize JCB, Kijenge naiendesha kwa remoti

Report mtaa zinasema King is Back

Leo siku yako, so happy bornday wack
 
Sitishiki na panya/
kwa miruzi nakutawanya/
jiangalie, vibaya nitakufanya/ utatafuta sehem ya kupenya/ wenzako nimewatanya/
unakuja na mistar ya kusengenya/
We ni mlain zaid ya nyanya/
Taratibu nakutekenya/
Hata kama ukisengenya/
lord atakuponya
Ooohh rrrraaahhh umerud tena/
Kiki zitakuua sizonje madawa umeficha wapi?/
Nakupa mistari konde ngoma nagwa mistari yako makapi/
Acha tu nikubonde ur ass so fluffy/
Wenzako wanakucheka umekanyaga moto wa Castr/
Navunja ngome kwa mistari kila tym nko tayar/
I'll just pop u hood rat while I wait for models/
 
Watch what to say hapa tupo wanaume/

Funga mdomo nimekuja nyamaume/

Nameza kila kitu hata kama una mapunye/

Nikikuonea huruma nitakuja na Dume/
Wengine siwajui, eti wana fosi beef

Kimistari hausumbui, so am sorry chief

Don mess na mie, we tecno kwa apple

Usiku mwema bibie, namaliza hivyo simple
 
Sihitaji mada kuchana.. Nahitaji beat kuwabana.. Wapuuzi kwenye Uzi mmejazana.. Niite shemeji dadaako ananiita bonge la bwana... Aaanha twendeeee

sina mpinzani.. kwenye fani ya kughani.. napata mizuka hasa nikinyonga mjani.. nafoka kishenz wala sio utani.. Yeeeahhh one two

Twende tena.. Yeeeah,

MMU.. Wanajadili Mapenzi tu.. hakuna wasaidizi wote ni wakuu.. swagga za majuu.. Asprin babu miss chagga mjukuu.. unabisha!? Basi sema suuuuuu....

Daby nipe mpinzani.. nimuonyeshe mautundu ya zamani.. mi ni old skul wakuja usilete utani..

Daaah... Haya mambo yanaenda na midundo wanangu
 
Sihitaji mada kuchana.. Nahitaji beat kuwabana.. Wapuuzi kwenye Uzi mmejazana.. Niite shemeji dadaako ananiita bonge la bwana... Aaanha twendeeee

sina mpinzani.. kwenye fani ya kughani.. napata mizuka hasa nikinyonga mjani.. nafoka kishenz wala sio utani.. Yeeeahhh one two

Twende tena.. Yeeeah,

MMU.. Wanajadili Mapenzi tu.. hakuna wasaidizi wote ni wakuu.. swagga za majuu.. Asprin babu miss chagga mjukuu.. unabisha!? Basi sema suuuuuu....

Daby nipe mpinzani.. nimuonyeshe mautundu ya zamani.. mi ni old skul wakuja usilete utani..

Daaah... Haya mambo yanaenda na midundo wanangu
 
Wengine siwajui, eti wana fosi beef

Kimistari hausumbui, so am sorry chief

Don mess na mie, we tecno kwa apple

Usiku mwema bibie, namaliza hivyo simple
Spendin hours writing shit? Really?
Ama kweli fani imevamiwa/
Worry not ukiwa na mi kila kitu kitajipa/
Kabla ya kulala hebu chagua kabisa/
Kichwa utalaza wapi kifuani au kwenye kibuisa mpipa?
 
Sihitaji mada kuchana.. Nahitaji beat kuwabana.. Wapuuzi kwenye Uzi mmejazana.. Niite shemeji dadaako ananiita bonge la bwana... Aaanha twendeeee

sina mpinzani.. kwenye fani ya kughani.. napata mizuka hasa nikinyonga mjani.. nafoka kishenz wala sio utani.. Yeeeahhh one two

Twende tena.. Yeeeah,

MMU.. Wanajadili Mapenzi tu.. hakuna wasaidizi wote ni wakuu.. swagga za majuu.. Asprin babu miss chagga mjukuu.. unabisha!? Basi sema suuuuuu....

Daby nipe mpinzani.. nimuonyeshe mautundu ya zamani.. mi ni old skul wakuja usilete utani..

Daaah... Haya mambo yanaenda na midundo wanangu
Mi naona mnanichokoza tu... nikiachia mistari hapa ntawaaibisha tu...

Bora niendelee kuwastahi...
 
Hii haipelekei kupigwa ban si ndiyo wakuu?
Terms and conditions apply, niaje mzee nani

Hapa ni maujanja na supply, flow dawa kama kiatu cha baniani

Tabia zenu za kidada du, alafu mnataka shindana

Shirika lenu shilawadu, umbea ndo job discription ya unachofanya
 
Daby mzee wa chit chat, na jukwaa la wachumba

Unafanya harakati, kipi leo kimekukumba

Anga zako mademu sipati, utasikia oh nina mchumba

Pm Miss chagga hanifuati, eti kisa sijapata mavumba

Kwa mapenzi nakonda, Niffah amesha wahiwa

Au nimfuate Mahondaw, ila kuna mtu anaefagiliwa

Miss natafuta anaponda, raha na haijafunguliwa

Ila nikimcheki ataniponda, maana hapendi kusalitiwa

Mtu mzima bado natweta, je Valentina atanipa habari

Mvumbo nampenda Preta, ila anapenda sana magari

Mahips ya mtoto Lisa rina, kama nina nusu kaputi

Daby MMU kule una jina, nivutie japo mtoto Ukhuty
 
Sihitaji mada kuchana.. Nahitaji beat kuwabana.. Wapuuzi kwenye Uzi mmejazana.. Niite shemeji dadaako ananiita bonge la bwana... Aaanha twendeeee

sina mpinzani.. kwenye fani ya kughani.. napata mizuka hasa nikinyonga mjani.. nafoka kishenz wala sio utani.. Yeeeahhh one two

Twende tena.. Yeeeah,

MMU.. Wanajadili Mapenzi tu.. hakuna wasaidizi wote ni wakuu.. swagga za majuu.. Asprin babu miss chagga mjukuu.. unabisha!? Basi sema suuuuuu....

Daby nipe mpinzani.. nimuonyeshe mautundu ya zamani.. mi ni old skul wakuja usilete utani..

Daaah... Haya mambo yanaenda na midundo wanangu
 
Terms and conditions apply, niaje mzee nani

Hapa ni maujanja na supply, flow dawa kama kiatu cha baniani

Tabia zenu za kidada du, alafu mnataka shindana

Shirika lenu shilawadu, umbea ndo job discription ya unachofanya
One two, one two everybody say 'yeah' coz the sucka is through/
Uko so weak pek yako huniwez labda uje na crew/
Unaendekeza umbeya ngoja nkushushie vitu true/
Freestyle yako rafu, mistari uchafu mtupu/
Sikilizia yangu inavyowasha kama upupu/
Nafumua kila kitu simuonei huruma mtu/
Mtengwa ngapulila ila kwangu ni virgin/
Ur head on my chest n i'll be doin that ass/
 
Back
Top Bottom