JF Hip-hop frestyle battle

JF Hip-hop frestyle battle

Yeeeh ahaaa
Kwangu mchongo ni pesa mapenzi peleka tanga/bila ndumba natesa siitaji bingo kwa mganga/ nakesha naiwaza kesho sio leo ilio potea/kwako unamwona spesho mi mtumba nilie mzoea
 
Naanza namna hii
Fake wote piga chini /

Kurap sio tu fasihii
Kichwani pia uwe makini/

Marapa nawapaka manii
Jukwaani nawavisha bikin/

Unayejicompare na me
Mwenzako na ID tisini/

Wananiita Daby
Master wa huu mchezo/

I'm kasie's hubby
Na kwangu amekidhi vigezo/

Kamwe Sinyei kambi
Kisa umashuhuri wa Dezo/

Hata nikinyaka chambii
Ntawaheshimu kama mwanzo/


Mazee mjitokeze mliopo free kwasasa basi mpige battle game linoge...
sijui Tigo walijua kuwa nitaua ma mc fake ndo maaana net yao inazingu
 
Naanza namna hii
Fake wote piga chini /

Kurap sio tu fasihii
Kichwani pia uwe makini/

Marapa nawapaka manii
Jukwaani nawavisha bikin/

Unayejicompare na me
Mwenzako na ID tisini/

Wananiita Daby
Master wa huu mchezo/

I'm kasie's hubby
Na kwangu amekidhi vigezo/

Kamwe Sinyei kambi
Kisa umashuhuri wa Dezo/

Hata nikinyaka chambii
Ntawaheshimu kama mwanzo/


Mazee mjitokeze mliopo free kwasasa basi mpige battle game linoge...
sijui Tigo walijua kuwa nitaua ma mc fake ndo maaana net yao inazingu
 
sijui Tigo walijua kuwa nitaua ma mc fake ndo maaana net yao inazingu
. Skia hii
Yooh
Naficha uso ka frasha
Nilivyo na doo nafanya shopping engarasha /

Kwq habari nawapasha
Mshakuwa mawet kama mvua ya rasharasha/

Kwa jiwe moja naua pacha
Na impress mpaka west muulize hata kadarshan/

Nawastusha la hasha
Mamc Nawaanika kama bidhaa kwenye tamasha /

Tehteh
 
Daby yuko wap lusematic/nawait battle au kaogopa magic/flow logic mpaka luse kawa static/ Ok unataka nibatle kuhusu Ban/ ni tadrop ila me ni mgeni humu ndani/Ban niloijua ilikua ya bibie faiza Fox/nikajiuliza kipi kimemtoa bidada outbox/maoni nikapata kavunja rules/ na akapigwa Ban kwa kuwekea uso wa Mbuzi/Jf Ban haijali we ni nani/ be humble mipaka iwe hata kwenye matani/sio matusi ya nguoni dharau na kejeli/lugha za kibabe kwa kujifanya makaveli/utapigwa Ban nakueleza huu ukweli/ facts za uongo kutupa madongo/kuitukana serikali ya bongo sio ya kongo/utapigwa Ban asee tuliza bongo/tena we kaa chonjo/usije dondoka ka kimondo
 
. Skia hii
Yooh
Naficha uso ka frasha
Nilivyo na doo nafanya shopping engarasha /

Kwq habari nawapasha
Mshakuwa mawet kama mvua ya rasharasha/

Kwa jiwe moja naua pacha
Na impress mpaka west muulize hata kadarshan/

Nawastusha la hasha
Mamc Nawaanika kama bidhaa kwenye tamasha /

Tehteh
Nimetok hustlin
Nimeza mchezon
Sijui mnaongea nin bt nimeamu ku break in
Mim ni man alone
Full package mgongoni
I take over wherev i step in

Mind ur hair off my crown
Yeah am king n i run this throne
Kawatel lame wanaojjsif ku run town

Am lion not you pupy, Copy....::!!
 
Mbona mpo kimya kama ukimya/mmezima kama mwanga bila uzima/mmerudi kwenye ujima/Freestyle jukwaa ndo hili/for r
eal tudrop bars like meek mil/ punches Which can make mil/still like DRE,steal night and bring light satan D.I.E,no one can be like me
 
Ok list ya kwanza hii hapa.
1. Keyon
2. merengo90
3. Rich Ze Best
4. NAKEMBETWA
5. life coach
6. oscarsolomon
7. markj
8. sizonjemadawa
9. slimdaddy
10. mwanazuoni mgeni

Session one.
Keyon vs Nakembetwa.

Session/round ya kwanza
Aanze Keyon vs Nakembetwa
Mada iwe MMU. Mtapiga round mbili mbili then watu wanapiga kura halafu mshindi anapatikana anasubiri mshindi wa group lingine.

Mwenye la kusema kabla hamjaanza.

Kiswahili ni kizuri zaidi ili kila mtu awe na uhuru wa kuchana.
Mbona ww haupo au unajua utawafunika
 
Haya mapenzi yamenilewesha, zaidi ya bashite na madaraka

Najitahidi kuyacontrol, yananiangisha kwenye flow

Nashindwa kukimbia, nabaki kucrawl

Kwako me nimekuwa teja, ka kusoma story za bold na lege

Mtoto usiniweke alosto, utanifanya niwe lege lege
 
. Skia hii
Yooh
Naficha uso ka frasha
Nilivyo na doo nafanya shopping engarasha /

Kwq habari nawapasha
Mshakuwa mawet kama mvua ya rasharasha/

Kwa jiwe moja naua pacha
Na impress mpaka west muulize hata kadarshan/

Nawastusha la hasha
Mamc Nawaanika kama bidhaa kwenye tamasha /

Tehteh
mpinzani wangu unamistari soft kama pepocon huwezi pambana na mm mistari yangu inatumika kama kondom
 
ghafla naingia kwa thread naona free style battle kutazama aliyepost ni daby kiukwel kwangu ni mrembo


nakutomasa chuchu unapagawa mule mule napotaka mi ndyo depo masta toka jkt mgambo


baada ya kukupa mikunjo unanogewa na kuniambia lusematic i love nami nakula bonye mpita njia kimtindo


sikia sasa nitakununulia gift ya sken jeans ili upendeze twende beach ili kitaani usipate mbovu skendo


usihofu kuhusu vocha mrembo daby night nitakusambazia nyaya ili upete kwenye bando


sifa yako maji ya kunde black kwa mbali kamwe huwezi zinguliwa makuzi nitawapiga nyudo.....


>>kidogo nikwamie hapo
mrembo tena
 
Back
Top Bottom