life coach
Senior Member
- Apr 11, 2017
- 121
- 401
Dudu ni dudu liwe zuri au baya,Hahahhaha kijana pole/ unajifanya mlokole/MMU imekushinda nenda kalale/ kule hatusimulianagi misukule/ ni mapenzi tu kwa kwenda mbele/ MMU siyo ya watoto wale wa babu tale/ kule tumejaa watu wazima tena tele
Naona unataka kupandwa kama mlima wa himalaya,
Katafute saiz yako kwangu umekanyaga yanya,
Nakuua huku nacheka kama mzee mzima jakaya,
Sogea sogea tu kama ray c,
Mana naona unataka nikufanye matusi,
Njoo geto kidume nikutinde nyusi,
Nikupapase mwili alafu nkupige pasi,
Umeingia meli ya wagiriki,
Kilichobaki ni kukufanya mshikaki,
Utaponzwa na kiki,
Mimi siingiliki,
Nakuvua nguo so kama muungwana chutama,
Nakuvua vyeo kama nape mbunge wa mtama.
