JF Hip-hop frestyle battle

JF Hip-hop frestyle battle

Ok list ya kwanza hii hapa.
1. Keyon
2. merengo90
3. Rich Ze Best
4. NAKEMBETWA
5. life coach
6. oscarsolomon
7. markj
8. sizonjemadawa
9. slimdaddy
10. mwanazuoni mgeni

Session one.
Keyon vs Nakembetwa.

Session/round ya kwanza
Aanze Keyon vs Nakembetwa
Mada iwe MMU. Mtapiga round mbili mbili then watu wanapiga kura halafu mshindi anapatikana anasubiri mshindi wa group lingine.

Mwenye la kusema kabla hamjaanza.

Kiswahili ni kizuri zaidi ili kila mtu awe na uhuru wa kuchana.

kabl cjaanz hilo battlle ni vema nikajua maana ya MMU mana mm mgen hapa jf

kukufahamu tu..nakusoma sana humu ila nachanganyikiwa..
ok mdogo angu..usiku mwema
Hiyo hapo juu....

Battle ilikuwa kati ya Keyon na Nakembetwa. Sasa kapotea hewani. Sizonjemadawa ameamua yeye aingie nafasi yake. Mshindi atakayepatikana atapambana na mtu mwingine. Nafikiri nimeleweka sasa.
 
Kabla ya kuropoka ungetoa maana/ siyo tu unaanza kuleta lawama/ sijui wanabaguana/ haina maana/ unawazungumzia vijana/ nahisi unataka leta uwasama/ tupo huku tunafundishana/ MMU kuzuri tunapata vimwana/ kama shinie, miss chaga na akima rihanna/
Kuhusu kushikamana/ MMU uzuri wake hawawezi kunyimana/
Here we go !!


Kijana unashinda MMU huku ukiwasapoti LGBT/
Mwisho wako mubaya kama TVT/

MMU kilamember mjuvi wa penzi/
wamejaza thread kama inzi/

MMU utapata furaha ya mahaba/
Member wacheshi maneno Yao si haba/

Mapenzi Sasa weka mbele pesa/
Mabinti wa MMU wanavunga hawataki Pesa/

MMU inashangaza inapendwa na wengi/
Huku ikichukiwa na wengi/

Tatizo la MMU wanaubaguzi kama karanga/
Ni heri nikamsome intelligence-kiranga/






Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
Hiyo hapo juu....

Battle ilikuwa kati ya Keyon na Nakembetwa. Sasa kapotea hewani. Sizonjemadawa ameamua yeye aingie nafasi yake. Mshindi atakayepatikana atapambana na mtu mwingine. Nafikiri nimeleweka sasa.
Hehe kaingilia battle!!

Huyo mkabizi mwingine...
 
Living it up like these are my last days/

Going hard blowin' it I be makin hayes/
Then call me hayemaker/

Ukiniona na Noah jua nimekuja kukuteka/

Naturally high sihitaji kumoka/
streets, they got weed but I been dope/
 
Here we go !!


Kijana unashinda MMU huku ukiwasapoti LGBT/
Mwisho wako mubaya kama TVT/

MMU kilamember mjuvi wa penzi/
wamejaza thread kama inzi/

MMU utapata furaha ya mahaba/
Member wacheshi maneno Yao si haba/

Mapenzi Sasa weka mbele pesa/
Mabinti wa MMU wanavunga hawataki Pesa/

MMU inashangaza inapendwa na wengi/
Huku ikichukiwa na wengi/

Tatizo la MMU wanaubaguzi kama karanga/
Ni heri nikamsome intelligence-kiranga/






Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app

Kabla ya kuropoka ungetoa maana/ siyo tu unaanza kuleta lawama/ sijui wanabaguana/ haina maana/ unawazungumzia vijana/ nahisi unataka leta uwasama/ tupo huku tunafundishana/ MMU kuzuri tunapata vimwana/ kama shinie, miss chaga na akima rihanna/
Kuhusu kushikamana/ MMU uzuri wake hawawezi kunyimana/

Hey mkuu tafsiri ya MMU basi
MMU ni topic ya hawa jamaa wawili juu. Atakayeshinda anaingia ulingoni na mtu mwingine kwa topic nyingine.

Hapo ni round ya kwanza ngoja wapige round nyingine then tupige kura.
 
Kabla ya kuropoka ungetoa maana/ siyo tu unaanza kuleta lawama/ sijui wanabaguana/ haina maana/ unawazungumzia vijana/ nahisi unataka leta uwasama/ tupo huku tunafundishana/ MMU kuzuri tunapata vimwana/ kama shinie, miss chaga na akima rihanna/
Kuhusu kushikamana/ MMU uzuri wake hawawezi kunyimana/
Picha za mnato,
Filamu za mnato,

Kijana unamchecheto,
Bila shaka unapenda Minato,
 
ghafla naingia kwa thread naona free style battle kutazama aliyepost ni daby kiukwel kwangu ni mrembo


nakutomasa chuchu unapagawa mule mule napotaka mi ndyo depo masta toka jkt mgambo


baada ya kukupa mikunjo unanogewa na kuniambia lusematic i love nami nakula bonye mpita njia kimtindo


sikia sasa nitakununulia gift ya sken jeans ili upendeze twende beach ili kitaani usipate mbovu skendo


usihofu kuhusu vocha mrembo daby night nitakusambazia nyaya ili upete kwenye bando


sifa yako maji ya kunde black kwa mbali kamwe huwezi zinguliwa makuzi nitawapiga nyudo.....


>>kidogo nikwamie hapo
 
Back
Top Bottom