Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,231
@Bishanga hauhusiki hapa kweli?Hizi Ndumu Bana!
Mzee nanihii Bana naye nilimfikiria kama wale wadudu wanaotoa miiba, labda sababu ya unoko wake kwa vibinti vyake humu.
@Bishanga hauhusiki hapa kweli?Hizi Ndumu Bana!
Mzee nanihii Bana naye nilimfikiria kama wale wadudu wanaotoa miiba, labda sababu ya unoko wake kwa vibinti vyake humu.
Mzee nanihii Bana naye nilimfikiria kama wale wadudu wanaotoa miiba, labda sababu ya unoko wake kwa vibinti vyake humu.
Hapo mwenye bahati ni mimi tukwa kuwa sikuonekana huko kwenye hiyo garden.
Bange bhana m2 unakuwa na imagination za ajabu................
Ndio maana nilinyamaza najua sasa zimeshamuisha TANMO ku-mukichwa..
Hahahaaaa hata sina taarifa aisee ila atakuwa kapona...Mbona unakuwa kama Chama Cha Magamba Arifu?
Uwanja wetu sote, wewe unajimilikishia eti ni wa kwako pekee..
Acha hizo Bana..
Hivi Mtu Chake amepona ile Heart Konkesheni uliyomsababishia?
Kapumzika na HouseGirl au?
Kazindukia huko mochuali akasema harudii tena....huko! mtu chake karibu tunaomba uwepo wako kwani tunatambua matamanio ndiyo yalikuingizia matatizoni!