TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 31,185
- 18,201
hahahhaaha
ngoja kwanza nishike suruali yangu chini ya zipu kama style ya AMOEBA hii
MTM ni ndugu yake PAW,
baadi ya watu hawamkubali PAW,
anayemwaga ban nyingi hap JF ni PAW,
PAW kama papai PAW ni PAW kama PAW,
ukimwaga upupu hapa JF anayekuja na rungu ni PAW,
MTM kuwa makini hata kama humjui huyu jamaa anayeitwa PAW,
MTM anapigwa na mgao wa umeme na vumbi la bongo il ukizingukua huachwi na PAW,
yo yo yo nipe mic nimwage nyuki kama zitto na mnyika au mbowe au mtema au lema bila kumuogopa PAW,
HAHAHA ...............
nini paw, kuna faw
na bi chau, hata dau
wote chanu, nakisanu
kata bao, kata kiu
chapa wao, hadi kwao
hahaaaaaaaaa.... nani paw
kwa kuzuga, kakuzuga
kisa ivuga, nikapiga
buti nunda, shati tunda
piga funda, nimekudunda
chapa lapa, kama kapa
kimechapa, kwa kurapa
toka kapa, kama banka
.........am out