Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,028
- 59,657
anybdy 2 battle.???
keep at it dog if u got talent ..finger up JF
anybdy 2 battle.???
we mtoto wa mama,nani anataka beto na mimi, here i am..
ukija kwa kujiamini..me nakuchana ka ckufahamu..
kichwa kimejaa line..hazipungui ka benki ya sperm
Freestyle bato, nazibato kwa dodoso,
emc kipaji zero,
kuchana huwezi waona so,
jifanye we mgumu,
nikutie dole kama nyoso,
ebwana da ushanjua mi mkali,
so stay fr0m magnifico,
yeah!
Sishangai kusikia hii mistari kaka umecopyKwa line hizi mchizi bado piga tizi
Huna punchlines na flow kigugumizi,
Kibogoyo huna meno kwenye fizi,
Freestylin is no easy,
Siku hizi masoro wana squeeze
Kama kaweezy bila beat na ku freeze
Kwa flow hizi naweza ku battle na weezy
Au lord easy kwa hapa TeeZee
Na ukilegea siku tii na nakuchomeka ndizi,
Naogopa paparazzi na waduanzi
Wasije kupa kiki upate ganzi,
Ujikute Mzamili Katunzi,
Ucheze na wachina nyeti wazikate kama vuzi,
Ubaki loose tu na ushuzi
Au uanze kunengua kama aisha mashauzi,
Ibaki kukuvisha under skate na blauzi
Hahaha umechokoza moto we tozi,
Kwa line hizi mchizi bado piga tizi
Huna punchlines na flow kigugumizi,
Kibogoyo huna meno kwenye fizi,
Freestylin is no easy,
Siku hizi masoro wana squeeze
Kama kaweezy bila beat na ku freeze
Kwa flow hizi naweza ku battle na weezy
Au lord easy kwa hapa TeeZee
Na ukilegea siku tii na nakuchomeka ndizi,
Naogopa paparazzi na waduanzi
Wasije kupa kiki upate ganzi,
Ujikute Mzamili Katunzi,
Ucheze na wachina nyeti wazikate kama vuzi,
Ubaki loose tu na ushuzi
Au uanze kunengua kama aisha mashauzi,
Ibaki kukuvisha under skate na blauzi
Hahaha umechokoza moto we tozi,
anybdy 2 battle.???
Ngoja nikutafutie mtu..Usikimbie
Battle..