AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,189
- 18,113
AshaDii maswali unayapata wapi mbona ya hapa mengi hujayapeleka kule? Afu uliyouliza sasa hivi hapa siyaoni? Au unapokea mashwali through PM?
Ipycalypse... Inatakiwa uwe na subira mkuu... Maswali yapo sio chini ya 15, mengine yaliulizwa kumnyambulisho mno... Hivo yameboreshwa kuwa kila swali walau likave swala fulani. Hayo maswali yoote ni toka kwa members.. na yalikusanywa kwenye thread yenye link hii nakupatia... https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/307782-jf-focus-interview-with-maxence-melo.html
Naomba tu uwe na subira... na pia naomba ushirikiano wako wa kuuliza maswali na swali lako litafanyiwa kazi... Kingine cha muhimu utambue kuwa haya maswali ya sasa yatakuwa mwisho baada ya yale yalokusanywa... I hope tupo pamoja mwanzo mwisho.