JF Focus: Side Comments: Exclusive Interview with JamiiForums founder - Maxence Melo

JF Focus: Side Comments: Exclusive Interview with JamiiForums founder - Maxence Melo

Status
Not open for further replies.
Hivi ni kwa nini JF isiuze SHARES then ijiendeshe kibiashara badala ya kuomba kuchangiwa kama KANISA au MSIKITI? Hapa ni great Thinkers, why mje na old model ya kupata fedha instead of going into Business?
 
Nakujibu falesy hapo juu. Kuna faida ya kuuza shares na hasara/disadvantages. Hapa ngoja ni base kwenye disadvantage; unakuwa share na mtu anaanza kukupa masharti "habari hii isitoke," "tuweke hii" "futa ile". SI UNAKUMBUKA YA GAZETI LA RAI??
 
Last edited by a moderator:
Samahani mkuu.

Mimi nilitaka kubadili ID yangu maana nimejaribu kwa kutumia settings humu inagoma, inawezekana?

Mlalila samahani nakujibu kwa niaba... Huwezi badilisha ID yako mwenyewe kupitia hizo settings. Ni hadi uwasiliane na Invisible kwa kumtumia PM. Nadhani ni advisable unachagua jina kabisa then wamwambia moja kwa moja unapo muomba kuwa unataka libadilike kuwa nani.
 
Mlalila samahani nakujibu kwa niaba... Huwezi badilisha ID yako mwenyewe kupitia hizo settings. Ni hadi uwasiliane na Invisible kwa kumtumia PM. Nadhani ni advisable unachagua jina kabisa then wamwambia moja kwa moja unapo muomba kuwa unataka libadilike kuwa nani.
THanks
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom