Hakikwanza
JF-Expert Member
- Dec 11, 2010
- 4,034
- 1,003
Tz is a black country,believe or not.
Acheni wivu nyie wapuuzi, matusi kibao bila mpango, hao wameingia kihalali na wamewinda kihalali, nyie mnakwenda Dubai kununua vikopo vyenu wao wanakuja TZ kula nyama pori hivyo ndio Dunia inavyokwenda. Sio lazima kila anaekuja TZ awekeze.
Leteni picha ya jamaa ameua Tembo au Twiga ndio tujadili lasivyo hakuna mada hapa. Mimi naona hiyo Lexus ndio imewatoa roho, si unajua tena wabongo tukiona mtu mwenye kizuri lazima tumyee.
Mbona hawa jamaa hawajavaa vilemba, leta picha ya hao jamaa wa Dubai wakiangusha tembo au simba. Hilo ndio swali languKwa ajili yako tu labda utaweza kuchangia sasa:
Mbona hawa jamaa hawajavaa vilemba, leta picha ya hao jamaa wa Dubai wakiangusha tembo au simba. Hilo ndio swali langu
<br />Mbona hawa jamaa hawajavaa vilemba, leta picha ya hao jamaa wa Dubai wakiangusha tembo au simba. Hilo ndio swali langu
hao jamaa wenye vilemba wamekulamba wapi hadi unajitongozesha na kuwatetea kiasi hicho mzee, hebu tuambie wamekupa nini hadi uwe addicted nao kiasi hicho? shame on you unayejali tu vilemba, udini umekujaa, hapa hatuongelei vilemba tu mzee.Mbona hawa jamaa hawajavaa vilemba, leta picha ya hao jamaa wa Dubai wakiangusha tembo au simba. Hilo ndio swali langu
Invisible na wakuu wengine, salaams.<br />
<br />
It might be important to elaborate what exactly is happening with legal hunting in Tanzania.<br />
The guys on the pictures have hunting blocks. How they got the blocks I don't know. But their block is legal just like other hunting blocks owned by many Tanzanians.<br />
Hunting is one of utalii mkubwa sana nchini kwetu and very controlled. (What happened to Qatar illegal abduction and exportation of our animals should not tarnish the legal hunting tourism industry).<br />
These hunting blocks are outside the national parks. It is illegal to hunt within the National Parks boundaries.<br />
Additionally, if you understand the animal kingdom, especially Swala, Simba and the sorts, they have Harlems. Meaning, in a group of 20 females or so, there would be one male who dominates them and breeds with them until the stronger guy comes and over throw him. Therefore, only male animals are allowed to be hunted (because the other 19 males are just there with other males, wangekuwa humans labda wangekuwa gay or something they are not able to reproduce with other males na kazi iloyobakia ni kukimbiza na kula pundamilia. It is illegal to hunt a female animal hata ikiwa nje ya national parks. This helps controlling the population.<br />
Last but not least, each block is assigned how many animals they can hunt in a season. It is not a free spree of unlimited hunting.<br />
<br />
By the way, mie sio mwindaji wala sipendi hunting. <br />
But kama mnataka watu wasiwinde, itabidi hunting iwe declared illegal. Then jamaa wataenda Mozambique na Botswana. Huko pia wana ruhusu legal hunting.
Mbona hawa jamaa hawajavaa vilemba, leta picha ya hao jamaa wa Dubai wakiangusha tembo au simba. Hilo ndio swali langu
<br />Who verifies the animals killed?, the number and sex?, hapo kwenye bold, hilo ndio la muhimu. huko serengeti ukiua hata mnyama aliekukuta nyumbani kwako ni illegal, iweje hao waarabu? kwa kifupi wananchi hawafaidiki nao so, bora waondoke waache wanyama wale wanyama wenzao
Ndio mtabaki hivyo hivyo,huna la kujibu basi unarusha lugha za kishoga. nyie wote ni njaa zinawasumbua,kila mwenye hela lazima mtamuona mbaya. mimi siwatetei hao jamaa bali nasema kuwa wawindaji ni wengi tu hapa TZ, au hujui kama kuna wazawa wengi tu siku hizi kuwinda imekuwa ndio hobby yao?wewe utakuwa mke wa mwaraabu umeomba picha umewekewa sasa unataka nini zaidi? kuwa mzalendo bana Taarifa ziko wazi kuna ndege ya jeshi ilitua KIA na kukusanya wanyama wakiwemo TWIGA ambao ni nembo ya TAIFA sasa watu wakae muda wote kutafuta jinsi kuku comfort wewe
sasa kama sio kweli na ni wivu kama unavyodai wewe ina maana WAZIRI MAIGE naye ana wivu (kwa kumsimamisha kazi mkurugenzi wa uwindaji) na hao jamaa? kama ana wivu si angewanyima vibari?
haya sasa na wewe ndio huna tofauti na hao wanyama wanao windwa.Akili maji.Ni nyie wapuuzi ndio mnaoingiza udini hapa, wameuziwa block,wanalipia wanyama,wanaleta maendeleo huko vijijini. wewe umewahi hata kutoa mchango katika maisha yako? Kazi kujaza vyoo tu na kulalamika.hao jamaa wenye vilemba wamekulamba wapi hadi unajitongozesha na kuwatetea kiasi hicho mzee, hebu tuambie wamekupa nini hadi uwe addicted nao kiasi hicho? shame on you unayejali tu vilemba, udini umekujaa, hapa hatuongelei vilemba tu mzee.