Coolhigh
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 1,338
- 1,221
Unawabana tena? IJ wadau ni kifupisho cha Investigative Journalism.Thanks for this IJ stuff.
P
Unawabana tena? IJ wadau ni kifupisho cha Investigative Journalism.Thanks for this IJ stuff.
P
Kuepuka kodi siyo kosa ni sawa na benki za kiislamu unaepuka riba lakini unalipa bank charges kubwa!Kosa ni lipi? Mnaelewa mnachokisoma? Toka lini "tax avoidance" (kuepuka kodi) ikawa kosa?
Swali zuri mkuuKiongozi mbona WikiLeaks walipotoa taarifa kama hii na kuonyesha makampuni ya akina Rostam na Manji na mengine mengi yakiwa kwenye orodha ilikuwa wakati wa awamu ya nne? Hivyo awamu ya nne nayo haikuwa na inajua kuhusu mambo haya?
Mkuu hana washauri wa kodi,fedha na uchumi?Tatizo la TRA ni kwamba wanaamini kukadiria kodi kwa kiwango kikubwa ni kuongeza mapato ya serikali.
Kwa hakika natamani wataalam wa mipango na uchumi wapige kambi kwenye hii thread wasome neno kwa neno ili kupata ideas how to set our economy wings afloat
Paskali uwezo wako si wakuandika vitu senstive kama hivi....makala pekee unazomudu kuandika Ni zile zitakazokufanya uonekane na rais ili upewe kijinafasi...ukaapishwe ikulu basi....Give the credits where its due, naomba kukiri hii sio kazi yangu, ila one day na mimi nita...
P
Nimetumia maneno mawili yaani ukwepaji na uepaji; kwa lugha ya Elizabeth ni Tax Evasion na Tax Avoidance. Nafahamu wameongelea tax avoidance ambayo unatumia loopholes za sheria za kodi kufanya tax planing na hivyo kuepa kodi (tax avoidance) which is legal. Lakini nikuambie tu kwamba uepaji (avoidance) na ukwepaji (evasion) hawa ni ndugu wa baba mmoja japokuwa one is legal and the other is illegal (criminal act).Mkuu
Mkuu haya makampuni uliyoyataja hayakwepi na kuvunja bali yanatumia loopholes za sheria zetu. Hilo sio dhambi na ni global strategy intact Pan African companies zimesajiliwa Mauritius.
Uzi umewekwa indicating kuna makampuni mengi lakini inamuongelea Ubongo Group na consultants wao KPMG pekee. Hapa yanatengenezwa mazingira ya kuwaona KPMG ni 'wahuni' na hawafai. This isn't right.
Chanzo cha tatizo ni mfumo na viwango vya kodi katika nchi nyingi za Africa havishawishi uwekezaji. Consultant yoyote anayejielewa angetoa ushauri kama wa KPMG.
Kosa ni lipi? Mnaelewa mnachokisoma? Toka lini "tax avoidance" (kuepuka kodi) ikawa kosa?
Wewe tafsiri vyovyote upendavyo mradi ni "avoidance" hakuna dhambi. Dhambi ni "tax evasion".Siyo kuepuka ni kuepa!!!
Mkuu
Mkuu haya makampuni uliyoyataja hayakwepi na kuvunja bali yanatumia loopholes za sheria zetu. Hilo sio dhambi na ni global strategy intact Pan African companies zimesajiliwa Mauritius.
Uzi umewekwa indicating kuna makampuni mengi lakini inamuongelea Ubongo Group na consultants wao KPMG pekee. Hapa yanatengenezwa mazingira ya kuwaona KPMG ni 'wahuni' na hawafai. This isn't right.
Chanzo cha tatizo ni mfumo na viwango vya kodi katika nchi nyingi za Africa havishawishi uwekezaji. Consultant yoyote anayejielewa angetoa ushauri kama wa KPMG.
ubatizo huu wa hivi vitu viwili ni sawa sawa kabisa na mazingaombwe ya ubatizo wa uuzaji na ununuzi wa share za accacia Kwa Barrick .... hawa ni Baba mmoja mama mmoja lakini tumbo mbali mbali .... huwezi kuwatofautisha Barrick na Accacia .... wacha tuendelee kunyolewa nywele na machine ya kukatia majani ya ukokaNimetumia maneno mawili yaani ukwepaji na uepaji; kwa lugha ya Elizabeth ni Tax Evasion na Tax Avoidance. Nafahamu wameongelea tax avoidance ambayo unatumia loopholes za sheria za kodi kufanya tax planing na hivyo kuepa kodi (tax avoidance) which is legal. Lakini nikuambie tu kwamba uepaji (avoidance) na ukwepaji (evasion) hawa ni ndugu wa baba mmoja japokuwa one is legal and the other is illegal (criminal act). Illicit financial flows toka nchi zetu hizi inafanyika kwa msaada wa hayo ma audit firms!
Wewe tafsiri vyovyote upendavyo mradi ni "avoidance" hakuna dhambi. Dhambi ni "tax evasion".
Hizo ni lugha za kimasikini na kushindwa na maisha. Nani alikuhubiria uwe mnyonge?Mkuu ni kweli kabisa siyo kosa la kisheria ila ni dhambi ya kuwanyonya wanyonge!! Siyo kila dhambi ni kosa kisheria. Unafahamu kwamba ukizini na mke wa mtu ukakamatwa ugoni kwa Tanzania Bara siyo kosa kisheria lakini ni dhambi? Lakini ukikikamatwa ugoni kitongojini Zanzibar ni kosa kisheria na ni dhambi vilevile.
Tax Avoidance ni dhambi lakini si kosa kisheria ila tax evasion ni dhambi na ni kosa kisheria. Upo? Wasalimie Kariakoo
At least Nyerere was genuine, he failed and didn't benefit from his failure. You could easily tell that he believed in what he said and acted accordingly though in the end he failed miserably. The ones that took over from him have failed us deliberately and have amassed a huge amount of money in the process.How I wish Tanzania was also a tax haven countries. I am sure, it we could pull it in that direction, our beloved country and people won't suffer this much in poverty.
Unfortunately, we, as a nation, including our president, seems to love poverty and suffering.
We have seen time and again our president is singing the song of poverty and suffering, sinking it in our children's mindset, calling it us to join his war against the rich and the successful.
Nyerere was indeed better in words, by declaring a war on poverty, diseases, and stupidity. Unfortunately, his actions failed him and the nation.
Tunaongozwa na viongozi wasiojua kesho yetu ndio maana mambo yanaenda mrama.Ni makampuni mengi sana na yameshamiri wakati huu wa awamu ya tano kwa sababu ya Serikali kutojua mambo haya
Nilitoa mbona majina 99 na ipo hapa JF. Hamkuwa kwenye mood ya kunisikiliza. Google utaiona hapa hapa JF. Mlisema wahindi watupu 😁😁😁 mlikuwa na majina yenu mlitaka kuyaona
Soma:
Watanzania 27 wanamiliki mabilioni Uswisi
Wanabodi, Watanzania 27 wakiwamo wanasiasa na wafanya biashara, imebainika kuwa ndio wameficha mabilioni ya fedha nchini Uswisi, huku mmoja wao akiwa anamiliki Dola za Marekani milioni 56 (sawa na Sh89.6 bilioni). Taarifa hizo zinaeleza kuwa mbali na kigogo anayemiliki Sh90 bilioni, wapo...www.jamiiforums.com
Swissleaks: Watanzania 99 wameweka kiasi cha $114m Uswizi
Habari wanabodi, Swisskleaks imewataja watanzania 99 walioweka kiasi cha dolla za kimarekani million 114 kwenye banks mbalimbali za Uswisi. Tanzania ni nchi ya 100 kati ya nchi 234 zilizoweka kiasi kikubwa cha fedha. Utafiti unaonyesha accounts nyingi zilifunguliwa baada ya mwaka 2000(baada...www.jamiiforums.com
Poti tusaidie sisi wa la 7.Thanks for this IJ stuff.
P
Kiongozi mbona leo umekuwa mbogo? Nani kaguswa hapo? Nimesema unafahamu kwamba Zanzibar.... sijasema unaifahamu Zanzibar! Hiyo Avatar yenyewe inaashiria kwamba Unaifahamu Zanzibar!Hizo ni lugha za kimasikini na kushindwa na maisha. Nani alikuhubiria uwe mnyonge?
Usitake kulazimisha makosa. Mauritius wanatangaza biashara yao.
Huko uakosema kosa ndiyo wazinzi wa kutupwa. Cheza na pweza wewe.
Nsni asiyoifahamu Zanzibar? Kama haitoshi, ukiona mpaka imefikia hatua hiyo ujuwe ni tatizo kubwa huko.
Makabila mengine Tanzania wanaombea wamshike mtu ugoni wajipatie ng'ombe au mtaji.
Kuepuka kodi siyo kosa ni sawa na benki za kiislamu unaepuka riba lakini unalipa bank charges kubwa!
Hizo ni lugha za kimasikini na kushindwa na maisha. Nani alikuhubiria uwe mnyonge?
Usitake kulazimisha makosa. Mauritius wanatangaza biashara yao.
Huko uakosema kosa ndiyo wazinzi wa kutupwa. Cheza na pweza wewe.
Nsni asiyoifahamu Zanzibar? Kama haitoshi, ukiona mpaka imefikia hatua hiyo ujuwe ni tatizo kubwa huko.
Makabila mengine Tanzania wanaombea wamshike mtu ugoni wajipatie ng'ombe au mtaji.