Hawa jamaa "wajanja" wamepima upepo kiwango cha original report kusambaa......hiyo kunyofoa ni ili wenye original wasimame sasa wajulikane ni "wafunge kazi" ......ila kauli ya Invisible kuwa ipo "mawinguni" maana yake kwa muda uliosalia "wameshafeli"
Invisible na wale waliosambaza iliyonyofolewa hawana tofauti, angeweka ata page moja kati ya 3 za mwisho.
Mkuu Invisible
Please!
Please!
Please!
Weka hapa hii kitu hasa hizo kurasa za mwisho mkuu wangu zinatosha tu!
Remmember at JF "WHERE WE DARE TO TALK OPENLY"
Kigugumizi cha nini Mkuu wetu!
umejichanganya,tulia na pitia comments za watu humu utaelewa.humu hakuna last pages,ila mkileta za kuleta zitamwangwaKtk hili Invisible umedhalilisha Jukwaa..
Wakuu mbona pesa zilizoibwa ni nyingi .321 alafu majina na kiasi kilichogawiaa ni kidogo.? Pesa nyingine akina nani wame chukua. Maenye majina atupe tafadhali
We bibi nae unakera!Yaani kila hoja wewe ni kupinga tu,hivi wewe ni mtanzania kweli?Mbona huna uchungu na hii nchi!Mi binafsi nimekuchoka,hata nikiona jina lako nahisi kama nimekutana na kinyesi njiani.
Haya ndio majina ya waliokwapua hela ya Escrow.
1.Kubwa La maadui shokshugi- $ 1m
2.Chapa Mamba - $ 3m
3.Mkweli- $2m
4.tibakajumu - $1m
5.Meno lundu-$3m
6.Amerew- $2m
7.Swima-$1m
8.....
Mengine tutayatoa baadae.
Mkuu suala hilo halichanganyi kabisa. Intaegemea unaliangalia kwa jicho gani na upana upi.
1)Kuna fedha za umma za wazi zilizoibiwa(direct or indirect)
2. Kama si fedha za umma, kuna masilahi ya umma yametumika au kutumiwa kwa jambo lisilo la umma(endapo tutakubaliana si suala la umma)
3) Kuna ukiukwaji mkubwa sana wa maadili. Iweje suala lisilola umma(kama tunakubaliana) liwahusishe vingozi wa ngazi za juu, moja kwa moja au kwa kupitia?
4)Kama umma hauna masilahi, kwanini kuna kujuhudi za kuficha suala hili kwa kutumia ofisi kama za waziri mkuu, mwanasheria mkuu, Ikulu(kupitia katibu kiongozi n.k.)
Kubwa Zaidi jiulize, kama umma hauna masilahi, kwanini taarifa isiwekwe wazi ili serikali ijisafishe? Kwanini kuna dana dana nyingi zisizo na kichwa wala miguu, tena zingine zikihusisha taasisi nyeti kama mahakama?
Sio suala la pesa tu, hili ni corruption. Hebu angalia corruption ni kitu gani halafu uje utuambie wapi kuna confusion katika suala hili.
umejichanganya,tulia na pitia comments za watu humu utaelewa.humu hakuna last pages,ila mkileta za kuleta zitamwangwa
Haya ndio majina ya waliokwapua hela ya Escrow.
1.Kubwa La maadui shokshugi- $ 1m
2.Chapa Mamba - $ 3m
3.Mkweli- $2m
4.tibakajumu - $1m
5.Meno lundu-$3m
6.Amerew- $2m
7.Swima-$1m
8.....
Mengine tutayatoa baadae.
teheth! HABARI ndio hiyo!
Mkuu Invisible Husikii kilio cha watu ndugu yetu? Yericko Nyerere hina wewe hii kitu? JANSorne baron Vipi kimya vitu vizito kama hivi vinakupita?
Ipo mawinguni lakini mwenye access na nayo ni huyo mtu , watamdhibiti kwanjia yoyote ile iwe mabwepande, mwakyembe au kumkibanda, akifanikiwa kupona basi itakuwa kipindi cha uchaguzi 2015.Cha msingi ni invisible kuiweka yote hapa watu tupate copy.
Hapo hata Invisible mwenyewe amekosea kurasa zilizonyofolewa kwa mujibu wa taarifa ya jana ni ukurasa wa 57,58,na 59 sasa yeye ameleta nyingine kabisa,ndo maana ktk hizo hakuna kitu cha maana na yeye amesema tuliache kwanza bunge lifanye kazi yake ila kama wataendelea na mchezo wao mchafu atamwaga ripoti yote.
Vumilia tu "sindano" hii inawaingia taratibu! Na mwenye tezi dume "litachelewa" kupona!