Wala usisubiri, rejea kule haraka! Tena yanukuu haya ninayoyasema vema.
Jambo zuri ni kuwa JFinatunza kumbu kumbu.
Hebu tuutende huu uzi haki, na ule upewe haki yake
Nilivyoelewa jamaa iptl chao jumla ni usd 79 m ktk hela za escrow na hio 79 watoe zetu kodi kwa tra
Katika hio 79 kuna 45. Cent cent capacity charge na 33. Centi cent za faini plus riba
Tanesco wakaomba wasamehewe hio 33 ...iptl wakasema hewala lau na nyie mtusamehe kodi
Sasa kama stahili yao iptl ni usd 79 (humo kupa kod yetu pia) je kwa nini walipwe mpunga wote wa godauni la escrow tegeta
Sasa hata akiwasilisha wakati imesomwa itasaidia nini, Huoni kuwa tutakua tumechelewa.Na wewe unakuwa mtu wa kuingizwa mkenge kirahisi.utajuaje ripoti imechomolewa kabla ya kusomwa?je ikisomwa yote si utajishushia hadhi?ungeacha wanyofoe halafu umwage ndio ungeonekana shujaa
Address ya picha za document zilizowekwa hapa inajieleza wazi ,THE MISSING PAGE.JPG.wapi kasema ndio zenye mambo makubwa zaidi ya nyingine?? unatetea yet another capital mistake, done on great misculcations ...ili watu wajue unyofoaji na usambazaji wa hiyo ripoti Dodoma is just a hoax , Mengi hawezi Ku commit TV take kutangaza uwongo just for the sake of revenge. Yeye ni kiongozi wa jukwaa LA maadili ya utangazaji can't do such stupid thing. So ripoti kama walionyofoa na kusambaza baadae wakagundua wamekosea they Have great harm than good. usipoteze muda wako kutuambia uvumi was mitaani.
By lusungo
Soma vizuri ikibidi urudie huku umetuliza akili kuanzia hapo kwenye tahadhari ya TANESCO.... makubaliano Kati ya IPTL na TANESCO juu ya kiasi gani kilipwe halafu tafuta kiasi kilicholipwa baada ya makubaliano hayo then tafuta Kama kodi halali ililipwa.....
Inahitaji fikra ya juu kuelewa kilichomo humo Kama ndo mwenzangu na mie Wa nyimbo za kitorondo utaambulia patupu.....
Usione watu wazima wapo busy mpaka wanakosa usingizi ukadhani ni mambo mepesi....
sina la kuongezea!!!
Weka hapa kwa kuzoom kila mtu aone.Ukurasa wa 24 para ya tano na ya sita
Kwani hizi pg mbili zinatusaidia nini wakati zipo mtaani? Angeweka pg tatu za mwisho ndio tungeona anataka kutusaidia na hatumiki na hao wanaosambaza
Fedha zimegawanwa na nani na kwanini kwanza AG aizinishe.
Hapa cha kujiuliza hizo 79 zilikuwa za kulipia tangu lini hadi lini na wamelipwa za tangu ngapi na za tangu lini mpaka lini na je hawajalipwa za tangu lini mpaka leo.Nilivyoelewa jamaa iptl chao jumla ni usd 79 m ktk hela za escrow na hio 79 watoe zetu kodi kwa tra
Katika hio 79 kuna 45. Cent cent capacity charge na 33. Centi cent za faini plus riba
Tanesco wakaomba wasamehewe hio 33 ...iptl wakasema hewala lau na nyie mtusamehe kodi
Sasa kama stahili yao iptl ni usd 79 (humo kupa kod yetu pia) je kwa nini walipwe mpunga wote wa godauni la escrow tegeta
Fedha zimegawanwa na nani na kwanini kwanza AG aizinishe.
kuidhinisha ni sheria ya nchi or else ni money laundering!
Na ndo tunataka wabunge wakajadili figure,mahesabu sio,''ooh mkono amenituma nikamlipue maswi au mhongo''.Hercule Poirot, on post #384 , you are making a strong point. Na sasa naelewa kwa nini Zitto alisema wabunge wajiandae kujadili facts badala ya watu. Hii ripoti ya CAG inaonekana haijatuhumu watu bali imeeleza facts ambazo zitapelekea baadhi ya watu kutiwa hatiani. You just mentioned a classic example.
wapi kasema ndio zenye mambo makubwa zaidi ya nyingine?? unatetea yet another capital mistake, done on great misculcations ...ili watu wajue unyofoaji na usambazaji wa hiyo ripoti Dodoma is just a hoax , Mengi hawezi Ku commit TV take kutangaza uwongo just for the sake of revenge. Yeye ni kiongozi wa jukwaa LA maadili ya utangazaji can't do such stupid thing. So ripoti kama walionyofoa na kusambaza baadae wakagundua wamekosea they Have great harm than good. usipoteze muda wako kutuambia uvumi was mitaani.
Werema kumwita kafulila tumbili hiyo sio ishu ya kitaifa.ishu ni je kuna wizi,nani kaiba na kaiba vipi then awajibike.Mafisadi wote waliopinga na wanaopinga taarifa rasmi na sahihi kutoka kwa wawakilishi wa wananchi wenye moyo wa uzalendo
Na kwa nini AG aling'aka na kuhamaki kwa jaziba hadi kufika mbali na kumwita mwakilishi wa wananchi mnyama?
FF kuna zaidi ya kurasa hizo uzionazo, hizo ni kama zimetumika kuonesha kuwa wadau wanayo ripoti nzima...
Kurasa zenye mbivu na mbichi wala si hizo mbili bali zimetulia tuli zasubiri wakati muafaka wa kuziweka hadharani pale tu ukweli ukipindishwa...
Sijui kama umeelewa...