2014 If God wishes nataka na mimi niwe JF Tanzanite Member
Mr Rocky umesikia mkuu?
asante sana mkuu kaizer
heri hizo zikurudie na wewe na uwe na msimu mzuri wa sikukuu ya xmass na mwaka mpya weney mafanikio na wenye baraka za mungu
kwa akina arushaone, erickb52, nicas mtei, mentor, kiwatengu, mamndenyi, preta, lady doctor, sweetlady, snowhite, king'asti, heaven on earth, madame b, zion daughter, gfsonwin, ashadii, sosoliso, mwallu, mwalu, paloma, passion lady, charminglady, blaki womani, lily flower, chocs, amu, husninyo, dena amsi vin diesel, mkirua, tanmo, simplicity, stevoh, bak, jiwe linaloishi, , filipo, bishanga, asprin, dark city, paw, invisible, moderator, mzee wa rula, pakajimmy, mungi, rutashubanyuma, ruttashobolwa, nawatakia kila la heri katika kuumaliza mwaka salama na kuuingia mwaka mwingine wa 2014
asante kwa salamu kaizer.... nakutakia msumu mwema wa sikukuu kwako na familia yako na wana jf wote kwa ujumla!
mungu awabariki kila mmoja wenu kwa nafasi yake..... mmekuwa wema saana kwangu kupitia nyie nimejifunza mengi mnoo.
mbarikiwe woote.
haaaa Mamndenyi wewe tena halafu ujue zile sredi za Nyumba ndogo hujanambia ulitaka kuzifanyia nini.. MErry Xmas and Happy New Year!:busu
Wana Chit Chat!
Msimu wa sikukuu ndiyo umefika sasa.
Naamini kila mmoja kwa namna yake ataenjoy na kufurahia sikukuu hizi.
Sasa kwa kupitia huu uzi, naombeni tupeane wishers zetu.
Wenye maua na mivuto mingine ya Ujumbe wa kiholidays!
Tupia hapa tufurahie pamoja.
Tupia hapa na salamu zako,
Za sikukuu!!
Marry Christmass and Happy New Year 2014..
Nawatakia sikukuu njema na mwaka mpya wenye mafanikio tele. Yale yote ambayo hamkufanikiwa kuyatimiza mwaka huu basi inshaallah mwenyezi mungu awafanyie wepesi mwakani myatimize...
Nawatakia heri ya sikuu ya noel na mwaka mpya wa mafanikio
Na mimi nawatakia jf nzina sikukuu njema nikisema niwataje majina dah! itakuwa shughuli maana kuna majina magumu kama mizizi ya mikaravati, jaman sikukuu njema tuuage mwaka vizuri tuukaribishe mwaka vizuri kwa raha na aman wajamen nawapenda sana na nawakaribisha mje tusherekee wote hii sikukuu
Lady doctor siku hizi kawa adimu kama machozi ya samaki
asante kwa salamu kaizer.... nakutakia msumu mwema wa sikukuu kwako na familia yako na wana jf wote kwa ujumla!
mungu awabariki kila mmoja wenu kwa nafasi yake..... mmekuwa wema saana kwangu kupitia nyie nimejifunza mengi mnoo.
mbarikiwe woote.
Ubarikiwe Kiongozi nataki wewe na wana JF wote Heri ya Christmass na mwaka mpya wenye mafanikioAsante sana Mkuu Kaizer
Heri hizo zikurudie na wewe na uwe na msimu mzuri wa sikukuu ya Xmass na Mwaka Mpya weney mafanikio na wenye baraka za Mungu
Kwa akina Arushaone, Erickb52, Nicas Mtei, Mentor, kiwatengu, Mamndenyi, Preta, Lady doctor, sweetlady, snowhite, King'asti, Heaven on Earth, Madame B, Zion Daughter, gfsonwin, AshaDii, sosoliso, mwallu, Mwalu, Paloma, Passion Lady, charminglady, Blaki Womani, Lily Flower, Chocs, amu, Husninyo, Dena Amsi Vin Diesel, Mkirua, TANMO, SIMplicity, stevoh, BAK, Jiwe Linaloishi, , Filipo, Bishanga, Asprin, Dark City, Paw, Invisible, Moderator, Mzee wa Rula, PakaJimmy, Mungi, RUTashubanyuma, Ruttashobolwa, nawatakia kila la heri katika kuumaliza mwaka salama na kuuingia mwaka mwingine wa 2014