huyu jamaa naona anamfuatilia sana wifu wangu aisee...na haja anza leo
merry Christmas my friend
to u too uran
pacha baadae nitakutafuta kwenye mokibel tusogoe nikobored kweli huku kila mtu anagonga lugha yake
bora pacha unitafute
na sie tubonga kilugha chetu!!
Salamu zangu ziwafikie wafuatao.
@Maxence Mello@Slaa jakaya Kikwete Lissu Anna Tibaijuka Mzee Mwanakijiji GODBLESS Lema Nape Nnauye Madame B Arushaone bily kobun Chocs Mamndenyi Matola Kurugenzi ya Habari Tumaini Makene Ben Saanane Yeriko Nyerere Heaven on Earth Paw Invisible Katavi farhkina Lady doctor CUTE Fang Spiderman Bujibuji Ngongoseke shansarie kiwatengu Moderator Inovator na wengine Nawatakia kila la heri katika kumaliza mwaka huu na kukaribisha mwaka mpyaa.
Hazbandi wako ana shaka na huyu uliomuambia 'u too uran'..
Hazbandi wako ana shaka na huyu uliomuambia 'u too uran'..