Senetor umiza kichwa mkuuuuu....teh,teh!We toa jbu 2 maisha yaendelee mkuu.
Sawa Mkuu, umepatia kabisa.
Sawa Mkuu, umepatia kabisa.
Mwacheni Mungu aitwe Mungu,hiyo itakuwa ni ecosystem mbayo iliandaliwa naye.Hivi wangekuwa hawafi kirahisi hivyo,si wagejaa sana????????na wanavyotisha jamani,sitaki hata kuimagine.Nionyeshe vitu vyote ila si nyokaHapana mkuu mie sifugi nyoka ila ni ka utafiti nilikokafanya kadogo kwa kuongea na wenye uzoefu na aina za Nyoka
Jibu;Nyoka tofauti na wanyama wengine anategemea sana udongo kama chakula chake kikuu na kamwe hali majani wakati wanyama wengine hula hata baadhi ya mimea/majani ambayo huwapa kinga flani pindi wanapougua ama kuumia na kupona kiurahisi