JF challenge ya "NO REFORMS, NO ELECTION": Target replies 3K

Ewe mchawi, mshirikina, kigagula Mshana Jr hatimaye umefikisha idadi ya 3k ya ulichokitaka. Ila nikuhakikishie uchaguzi lazima ufanyike na Dkt Samia Suluhu Hassan ndiye Rais wetu wote mtake msitake!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hongera Ryan Holiday kwa kujitoa sana✌🏿πŸ’ͺπŸΏπŸ“ŒπŸ”¨πŸ™πŸΏπŸ™πŸΏπŸ™πŸΏ
 
Usikose kuwa sehemu ya historia mpya ya Taifa letu Pendwa ndugu Mwana JF.Mwalike ndugu jamaa na rafiki yako anayelipenda taifa hili awe sehemu ya historia ya kuyataka mabadiliko ya kweli navyenye tija kwa Taifa.
 
Mshana bila shaka nasubiri kupata mrejesho wa target ya kampeni tukuka ya No reform No election.Mungu ibariki Tanzania na washiriki wote wa kampeni hii tukuka ya NO REFORM NO ELECTION.
It is done before the targeted time
 
Kama hakuna mabadiliko hakuna uchaguzi October 2025 βš’οΈπŸ’― kivyovyote vile tutakuwepo 😎
 
Neno la shukrani: Asanteni wote mlioshiriki challenge hii kea nidhamu ya hali ya juu na upendo mkuu.. Kea mara ya kwanza JF muktadha wa mada umezingatiwa kwa asilimia 100βœŒπŸΏπŸ“ŒπŸ”¨βœŒπŸΏπŸ™πŸΏπŸ™πŸΏπŸ™πŸΏ
Kila reply ilikuwa ina umuhimu wa kipekee mno kwenye kutimiza lengo..Niwashukuru sana sana.. Sasa ni wakati wa kujiachia na kupongezanq.. Andika chochote sass cha kumpongeza yeyote kufanikisha hii challenge ✌🏿πŸ’ͺ🏿πŸ’ͺ🏿πŸ’ͺ🏿
Wale wa upande wa pili walijaribu kuiga lakini leo ni siku ya pili hawajafikisha replies 140πŸ€”πŸ₯ΊπŸ˜‚

JF ni role model wa mitandao mingine.. Kinachofanyika hapa huakisi uhalisia ulivyo nje ya hapa.. Naamini mamlaka zitaichukulia hii challenge katika mtazamo chanya zaidi na kutenda kulingana na mahitaji ya wengi
Shukrani wote
Jrβ„’
 
Angalia hapo mwisho typing error "shukrani wote"
No reforms no election kabisa mwana wanheβš’οΈπŸ’―
October tutakuwepo 😎
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…