engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
inaonekani hukubali kushinda,umepewa ushindi jaribu kuupokea kwa mikono miwili,tuwasiliane mkuu ili niweze ku trace aina ya mawasiliano utumiayo na wapi ulipo,naweza kuja kukuona ,tu marafiki nitakulinda kwa kila kituSasa uliposema upo tayari kwa lolote ulikuwa na maana gani? ati thawabu kwa allah..u sound silly, hysterical and idiotic.
mapinduziii daimaaaa