JF, CDM na UKRISTO

Status
Not open for further replies.
Sasa uliposema upo tayari kwa lolote ulikuwa na maana gani? ati thawabu kwa allah..u sound silly, hysterical and idiotic.
inaonekani hukubali kushinda,umepewa ushindi jaribu kuupokea kwa mikono miwili,tuwasiliane mkuu ili niweze ku trace aina ya mawasiliano utumiayo na wapi ulipo,naweza kuja kukuona ,tu marafiki nitakulinda kwa kila kitu

mapinduziii daimaaaa
 
MKUU
Jf ina wenyewe bana,
ulichokisema ni kweli kabisa na tatizo lililopo ni kuwa Jf imejaa watu wasiokubali kushaurika na kutambuwa michango ya watu wengine

maranyingi nimekuwa nikikemea swala la udini na uchama ndani ya JF matokeo yake niliambulia matusi kwa baadhi ya wana jf na niliomba msamaha ili kuwaridhisha wenye JF YAO

mimi nasema MSITUAMSHE TULIOLALA TUKIAMKA,HATUONI TAABU KUFA KWA AJILI YA KUPATA DHAWABU KWA ALAH,TUNAWEZA NA UWEZO TUNAO

msema ukweliii hapendwiiii daimaaaa
nyie wenye jf namba zangu ni 15202425864,skype acc(ibrahim.mtolera),nipo tayari kwa chochote kile ktk hii dunia

MAPINDUZIIII DAIMAAAAAAAAAA :bump::bump:

Kwanza nikwambie pole!
Kwa jinsi ulivyoanza na kumalizia inaonyesha ni mtu mwenye uchungu kama si chuki na wakristo. Wakristo wanafundishwa na kuhubiriwa upendo, ndiyo sabababu kama kuna kitu kizuri wanawashirikisha na ndugu zao. Sasa hapo ulipoweka herufi kubwa, wewe unaona ni dhambi kubwa sana kwa mkristo au mtu mwingine yeyote kumfungua akili ndugu yake ili atoke gizani?

Tatizo la msingi la msingi hapo ni kuweka post ambayo iko katika kiwango cha chini kwenye ufikiri tena imewekwa nje ya forum ya mapenzi au utani. Forum hizo mbili ndipo watu huweka chochote (kwa namna fulani) na huko kuna michapo yake; nje ya hapo usijaribu kuweka lolote la upuuzi utashambuliwa ili upate busara. Na hili limefanyika hata kwa wenye mtazamo wa kikristo.

Wakati ule jukwaa la DINI lipo, ndipo ukweli huu ulithibitika. Ushauri wa bure, watafute hao unaofikiri ni wakristo uone katika post zao kama hawajawahi kupingwa au kushambuliwa walipoyaweka madudu yao humu.

Kwa kumalizia niseme mtu wa kwenu amelitaja tatizo lenu WAISLAMU kuu ni nini na kwamba you are powerless. Ndiyo ni Dr FARRUKH SALEEM {is the Pakistani Executive Director of the Center for Research and Security Studies, a think tank established in 2007, and an Islamabad-based freelance columnist}.
Katika article yake yenye title "Why are Jews so powerful and Muslims so powerless?" ameandika mengi (acha uvivu kaisome...)
Straight to his conclusion he said.....

Why are Muslims powerless?
Because we aren't producing knowledge.

Why are Muslims powerless?
Because we aren't diffusing knowledge.

Why are Muslims powerless?
Because we aren't applying knowledge.

And, the future belongs to knowledge-based societies.

So, why are Muslims so powerless?
Answer: Lack of education.

All we do is shouting to Allah the whole day and blame everyone else for our multiple failures."

Source: Jews, Muslims & Power

Happy CHRISTmass and happy new NEW YEAR 2011.
 
inaonekani hukubali kushinda,umepewa ushindi jaribu kuupokea kwa mikono miwili,tuwasiliane mkuu ili niweze ku trace aina ya mawasiliano utumiayo na wapi ulipo,naweza kuja kukuona ,tu marafiki nitakulinda kwa kila kitu

mapinduziii daimaaaa
What about ushauri wangu wa kufuta post yako au kupunguza makali ya maneno yako for someone standing on peacefullness una preach violence..... Ni ushauri tu ndugu yangu
 
Mkuu mimi ninaloliona ambalo wengi mnaolalamika bado hamjaliona ni kwamba unapaswa ujue kuwa asilimia kubwa ya wana JF ni wakristo wenye hoja za nguvu na ndio maana ukileta mada ya dini tofauti unaona kama unashambuliwa. Ingekuwa kuna waislamu wengi hapa JF ungeona nao wangejitokeza zaidi kuchangia hoja na huenda kuongoza hoja. Hapo kwenye RED mkuu kunaonyesha ni jinsi gani unawza tofauti na mkiristo huwezi kuona mkristo atakayesema maneno kama hayo. Na hilo ndilo linaloleta shaka katika dini ya kiislamu. Haya mambo ya kufa kwa ajili ya Alah yanautata sana hilo fundisho la kuua wengine ni dhambi kubwa.

Mimi ushauri wangu ni kwamba ukiona unakerwa sana na hoja mbalimbali hapa JF ni bora ujitoe kuliko kufikia kujitoa roho au kutoa wengine roho. That's insane!!!

hatufundishwi kushindwa,tunafundishwa kushinda,hivyo ni ngumu kujitowa JF,hii ni mada moja tuuuu
zipo nyingi zisizohusu dini naitaji kuchangia

mapinduziiiiii daimaaaaaaaa
 
inaonekani hukubali kushinda,umepewa ushindi jaribu kuupokea kwa mikono miwili,tuwasiliane mkuu ili niweze ku trace aina ya mawasiliano utumiayo na wapi ulipo,naweza kuja kukuona ,tu marafiki nitakulinda kwa kila kitu

mapinduziii daimaaaa

Sitaki rafiki ambaye ni live grenade.
 


hezbolla_hamas_soldiers.jpg


news-graphics-2008-_658280a.jpg


Dunia hii ina watu na viatu!
 
What about ushauri wangu wa kufuta post yako au kupunguza makali ya maneno yako for someone standing on peacefullness una preach violence..... Ni ushauri tu ndugu yangu

yah,kama waona nimetumia maneno maneno yenye madhara kwa wana JF ok waweza ondoa,ila kama nilichokitowa ni sawa na kiswahili fasaha kisichokuwa na madhara kwa wana JF ok kiache bana

ila mkuu hata wewe wajuwa ukweli kuna bwana anaitwa Dsm amekuwa akishambuliwa sana pindi aletapo threads za namna hiii
sijui ni kwa nini?

mapinduziiii daimaaaaaa
 
Dont you think this is impossible na italeka vurugu...... yaani tunakubalina tu pale nitakapokubaliana na hoja zako????
no inategemea,kwani kuna kipindi unaona kabisa kuwa hii ni haki yangu,lakini hutaki kunipatia kama inavyotakiwa iwe,siwezi rudi nyuma,kuna mambo nitarudi nyuma na kuna mambo sitorudi nyuma daima

mapinduziiii daimaaaaa
 
anaitwa Dsm amekuwa akishambuliwa sana pindi aletapo threads za namna hiii
sijui ni kwa nini?

"An Eye For an Eye will Make the All World Go Blind"..... Nakubaliana na Ghandhi kwa hilo lakini hapa nakataa kidogo sababu Dar et al Post zao nyingi wana look for provocation hawaleti Hoja bali wanaleta comments ambazo kwa kweli wanastahili kila wanachokipata.....
 
no inategemea,kwani kuna kipindi unaona kabisa kuwa hii ni haki yangu,lakini hutaki kunipatia kama inavyotakiwa iwe,siwezi rudi nyuma,kuna mambo nitarudi nyuma na kuna mambo sitorudi nyuma daima
mapinduziiii daimaaaaa

Naomba mfano wa Haki hiyo moja....... Nadhani kwenye majority ya watu tofauti inabidi tujifunze kuishi pamoja inspite of our differences.... Nikimaanisha tufanye mambo yetu wenyewe bila kumsumbua mtu ambaye sio wa imani zetu..... Tukikutana njiani I dont need to know kwamba wewe ni Muslim, Christian au Budha, Chadema, Cuf au CCM, hayo mambo unaweza kuyanfanya mwenyewe without my involvement
 
"An Eye For an Eye will Make the All World Go Blind"..... Nakubaliana na Ghandhi kwa hilo lakini hapa nakataa kidogo sababu Dar et al Post zao nyingi wana look for provocation hawaleti Hoja bali wanaleta comments ambazo kwa kweli wanastahili kila wanachokipata.....

ok mkuuu zaijian

mapinduziii daimaaaaa
 
That is the HOLY TRINITY! JF ni think-tank ya CHADEMA and CDM is for interests of the Christian community. Kama wewe si mkristo usijiunge CDM na kama wewe si CDM usije JF. Get it man!
 
Nawashukuru wanajf,ingawaje mimi sikuwa mtowa mada ila nimeshambuliwa kama mtowa mada
mi nimekuta thread nimeichangia hivyo nanyi mlitakiwa kuchangia juu original thread na siyo comments zangu,
ok tumetowa kile tulicho nancho now we are free.lets make it
tusibaguane kwa dini wala kabila

together we stand
 
MKUU
Jf ina wenyewe bana,
ulichokisema ni kweli kabisa na tatizo lililopo ni kuwa Jf imejaa watu wasiokubali kushaurika na kutambuwa michango ya watu wengine

mara nyingi nimekuwa nikikemea swala la udini na uchama ndani ya JF matokeo yake niliambulia matusi kwa baadhi ya wana jf na niliomba msamaha ili kuwaridhisha wenye JF YAO

mimi nasema MSITUAMSHE TULIOLALA TUKIAMKA,HATUONI TAABU KUFA KWA AJILI YA KUPATA DHAWABU KWA ALAH,TUNAWEZA NA UWEZO TUNAO

msema ukweliii hapendwiiii daimaaaa
nyie wenye jf namba zangu ni 15202425864,skype acc(ibrahim.mtolera),nipo tayari kwa chochote kile ktk hii dunia

MAPINDUZIIII DAIMAAAAAAAAAA :bump::bump:

Kusema JF ina wenyewe, hizi ni inferiority complex, JF ni Jamvi la JAMII yote yenye uzalendo na kuumwa na umasikini wa wanadamu na kukerwa na waonevu ya dunia hii! Bila kujali dini, itikadi za kichama, jinsia, rangi, kabila, taifa, wala ubaguzi wa aina yeyote ile! Tabu inakuja pale mtu anapotanguliza aina fulani ya upendeleo kwa namna fulani ili kushambilia kundi jingine kwa vigezo vya kutetea ubaguzi wake, hapo ndipo anapo kutana na mabango ya wanaJF kisha anaanza kulalamika!

Statement zingine mtu akizisema na kujipambanua YEYE MWENYEWE kuwa "mimi nasema MSITUAMSHE TULIOLALA TUKIAMKA,HATUONI TAABU KUFA KWA AJILI YA KUPATA DHAWABU KWA ALAH,TUNAWEZA NA UWEZO TUNAO" Great Thinkers wanajuwa moja kwa moja huyu aliyesema hivi ni mtu wa namna gani, itikadi yake ni ipi, dini yake ni ipi, msimamo wake na uelewa wake ni upi katika masuala mbalimbali, hana haja ya kujitambulisha kwa namba, jina lake halisi wala mawasiliano yake! Siyo kwamba Great Thinkers ni wana psychology wazuri-hapana-there are THINKING BROADLY!

Na kama statement hiyo ingetamkwa na mtu mmoja kuwambia waislamu misimamo yao kwa "makafri" (watu wasio waislamu), nadhani na waislamu wangekuja juu na kumtangazia "Fatwa" mtu huyo!

Namwabia Alhadji Hon. Eng. Mtotela wapende hata adui zako, na waombee kwa Allah ili awageuze mioyo yao imuelekee yeye na awafanye upendavyo wewe! Usijitoe muhanga kwani MUNGU ndo mweza wa yote, ila kama Allah HAWEZI na HANA UWEZO wa kutumia uwezo wake mkuu, kukabadilisha mawazo kamtu kadogo kwa kwenye JF, basi msaidie maana yeye atakuwa ameshindwa na ukifika huko-utapata hiyo thawabu ikiwemo mademu wenye macho kama vikombe!

MUACHENI MUNGU MWENYE UWEZO MKUU, SIYE SHINDWA NA CHOCHOTE AFANYE KAZI YAKE YA KUHUKUMU KILA MTU KULINGANA NA MATENDO YAKE, SIYO KUMSAIDIA
 
mimi nadhani wana JF hawapingi uislam au ni ya wakristo.... bali kuna waislam ambao hoja zao nyingi humu JF ni za kuvuruga amani jamvini tena wakitumia uwanja wa dini..... sidhani kama muislam ataleta hoja yenye lengo kuu la JF kujamdili mada muhimu kwa kina kwa maendeleo ya nchi yetu na kuikosoa serikali inayoongozwa na CCM kwa miaka takriba 50 halafu wana JF wakampinga kwa sababu ni muislam....

hiyo sikubaliani nayo..... we must bring right threads that criticize and challenge all aspects of the whole system within our country ... ahsante
 
Kusema JF ina wenyewe, hizi ni inferiority complex, JF ni Jamvi la JAMII yote yenye uzalendo na kuumwa na umasikini wa wanadamu na kukerwa na waonevu ya dunia hii! Bila kujali dini, itikadi za kichama, jinsia, rangi, kabila, taifa, wala ubaguzi wa aina yeyote ile! Tabu inakuja pale mtu anapotanguliza aina fulani ya upendeleo kwa namna fulani ili kushambilia kundi jingine kwa vigezo vya kutetea ubaguzi wake, hapo ndipo anapo kutana na mabango ya wanaJF kisha anaanza kulalamika!

Statement zingine mtu akizisema na kujipambanua YEYE MWENYEWE kuwa "mimi nasema MSITUAMSHE TULIOLALA TUKIAMKA,HATUONI TAABU KUFA KWA AJILI YA KUPATA DHAWABU KWA ALAH,TUNAWEZA NA UWEZO TUNAO" Great Thinkers wanajuwa moja kwa moja huyu aliyesema hivi ni mtu wa namna gani, itikadi yake ni ipi, dini yake ni ipi, msimamo wake na uelewa wake ni upi katika masuala mbalimbali, hana haja ya kujitambulisha kwa namba, jina lake halisi wala mawasiliano yake! Siyo kwamba Great Thinkers ni wana psychology wazuri-hapana-there are THINKING BROADLY!

Na kama statement hiyo ingetamkwa na mtu mmoja kuwambia waislamu misimamo yao kwa "makafri" (watu wasio waislamu), nadhani na waislamu wangekuja juu na kumtangazia "Fatwa" mtu huyo!

Namwabia Alhadji Hon. Eng. Mtotela wapende hata adui zako, na waombee kwa Allah ili awageuze mioyo yao imuelekee yeye na awafanye upendavyo wewe! Usijitoe muhanga kwani MUNGU ndo mweza wa yote, ila kama Allah HAWEZI na HANA UWEZO wa kutumia uwezo wake mkuu, kukabadilisha mawazo kamtu kadogo kwa kwenye JF, basi msaidie maana yeye atakuwa ameshindwa na ukifika huko-utapata hiyo thawabu ikiwemo mademu wenye macho kama vikombe!

MUACHENI MUNGU MWENYE UWEZO MKUU, SIYE SHINDWA NA CHOCHOTE AFANYE KAZI YAKE YA KUHUKUMU KILA MTU KULINGANA NA MATENDO YAKE, SIYO KUMSAIDIA

mkuu,tupo pamoja,usimwombee adui yako njaa.pamoja tutajenga,tusahameane kwa maneno makali niliyotumia

mapinduziii daimaaaa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom