Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,855
- 401
Habari za siku ndugu yangu. Vipi umerudi lini kutoka Pakistan na Afghanistan??
Merry XMass.
Merry XMass.
MKUU
Jf ina wenyewe bana,
ulichokisema ni kweli kabisa na tatizo lililopo ni kuwa Jf imejaa watu wasiokubali kushaurika na kutambuwa michango ya watu wengine
maranyingi nimekuwa nikikemea swala la udini na uchama ndani ya JF matokeo yake niliambulia matusi kwa baadhi ya wana jf na niliomba msamaha ili kuwaridhisha wenye JF YAO
mimi nasema MSITUAMSHE TULIOLALA TUKIAMKA,HATUONI TAABU KUFA KWA AJILI YA KUPATA DHAWABU KWA ALAH,TUNAWEZA NA UWEZO TUNAO
msema ukweliii hapendwiiii daimaaaa
nyie wenye jf namba zangu ni 15202425864,skype acc(ibrahim.mtolera),nipo tayari kwa chochote kile ktk hii dunia
MAPINDUZIIII DAIMAAAAAAAAAA :bump::bump:
yah,kama waona nimetumia maneno maneno yenye madhara kwa wana JF ok waweza ondoa,ila kama nilichokitowa ni sawa na kiswahili fasaha kisichokuwa na madhara kwa wana JF ok kiache bana
ila mkuu hata wewe wajuwa ukweli kuna bwana anaitwa Dsm amekuwa akishambuliwa sana pindi aletapo threads za namna hiii
sijui ni kwa nini?
mapinduziiii daimaaaaaa