Mr Attorney
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 25,472
- 34,518
Hizo comments huwezi kuzikuta kwenye threads zinazojadili mambo ya msingi yemye kuhitaji akili kubwa kuyaendea.Yaan hii forum imegeuka kama sehemu ya brutal, harassment na takataka zote.
Yaan ukitaka umfurahishe mtu humu na siku yake iende njema au upate likes nyingi kwa comment yako basi comment haya maneno:..
1.chai
2.wewe ni Malaya tu
3.wewe ni shoga
4.Singlemom ni wa kugongwa tu
5.Mengine mtaongezea....
Ila haijakaa poa sana wakuu.Si nzuri sana kiubinadamu.
Ipo siku likes zitageuka pesa, tuendekee kuwa wavumilivuMnaotafutaga likes Huwa zinawasaidia nini mnifundishe na Mimi🤔
7. Tatizo binadamu wa siku wabishi sana6. Inasikitisha sana
Kati ya Ccm na Jf kipi kilianza kuharibika ?Ilishaharibika kitambo, kua mtu wa mizaha tu.
Haina userious ule wa zamani.
JfKati ya Ccm na Jf kipi kilianza kuharibika ?
Na ccm imeanza lini
HaijaharibikaNa ccm imeanza lini
Mbona hizo nyuzi zimefutwa mkuu ? Itakuwa ulikuwa uongo tuHata mlivyomuanika Muhaya na Id zake 100 haikuwa powa kabisa.
na ukimponda Rais... hapo sasa utapata Like zoooote! na ukiwatukana waislam au ukitaka pia uoge matusi wasanue wakristo Kuwa wanapigwa na manabii wa uongo! hapo utapewa kila tusi jip yaYaan hii forum imegeuka kama sehemu ya brutal, harassment na takataka zote.
Yaan ukitaka umfurahishe mtu humu na siku yake iende njema au upate likes nyingi kwa comment yako basi comment haya maneno:..
1.chai
2.wewe ni Malaya tu
3.wewe ni shoga
4.Singlemom ni wa kugongwa tu
5.Mengine mtaongezea....
Ila haijakaa poa sana wakuu.Si nzuri sana kiubinadamu.
NAKAZIA4.Singlemom ni wa kugongwa tu